kalikumtima
Member
- Aug 13, 2009
- 45
- 0
Jameni, mkuu wa kaya JK anasema safari zake za nje hazina mbadala? je ni kweli kuwa bila hizi safari za nje Tanzania kama taifa haliwezi kuendelea? je ni kweli kama taifa tunafaidika na hizi safari? Je hizi safari za nje ndio suruhisho la matatizo ya Tanzania kama taifa?
Au hizi safari ni kwa maslahi binafsi ya JK na hivyo kwake hazina mbadala?
Kama si kwa maslahi binafsi ya JK , hatuwezi kuwatumia viongezi wetu wengine km mawaziri na Mabarozi kutusaidia ktk hili? Naomba tuelimishane jamani.
Na wiki chache zijazo ninatarajia kwenda nchini Denmark kuhudhuria mkutano wa Capenhagen. [JK]
source: http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=16520
Au hizi safari ni kwa maslahi binafsi ya JK na hivyo kwake hazina mbadala?
Kama si kwa maslahi binafsi ya JK , hatuwezi kuwatumia viongezi wetu wengine km mawaziri na Mabarozi kutusaidia ktk hili? Naomba tuelimishane jamani.
Na wiki chache zijazo ninatarajia kwenda nchini Denmark kuhudhuria mkutano wa Capenhagen. [JK]
source: http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=16520