Bila Kutekeleza Matakwa ya Waislamu Hakuna Katiba Mpya

Mahakama ya kadhi.
Hijab (wanawake wote)
Kufunga Ramadhani (Raia wote)
Adhabu ya kupigwa mawe (wazinzi wote)
Sikukuu ya mwaka mpya wa waislamu(wote hakuna kwenda job hata kama ni mkristo)
Marufuku ya bia na baa
Marufuku ya kitimoto.
Makanisa yasijengwe kwa urefu wa kuzidi urefu wa msikiti au nyumba ya muislam


Yote hayo lazima serikali ikubali kuyaingiza kwenye katiba

otherwise, katiba mtaisikia CNN
huyu jamaa nimefuatilia posts zake nyingi. Ni mdini (mchukia uislamu) na mchokochoko. Lakini kwa mungu si kwa mzungu, kila mtu anagombea mungu yuko upande wake.. mwe! Hatukuzaliwa na dini, do we?
 
Mahakama ya kadhi.
Hijab (wanawake wote)
Kufunga Ramadhani (Raia wote)
Adhabu ya kupigwa mawe (wazinzi wote)
Sikukuu ya mwaka mpya wa waislamu(wote hakuna kwenda job hata kama ni mkristo)
Marufuku ya bia na baa
Marufuku ya kitimoto.
Makanisa yasijengwe kwa urefu wa kuzidi urefu wa msikiti au nyumba ya muislam


Yote hayo lazima serikali ikubali kuyaingiza kwenye katiba

otherwise, katiba mtaisikia CNN

Acha uoga Jerusalemu, hata hivyo kama itapinga maovu kama ambavyo yanakemewa na dini zote hakuna tatizo kwani tunajua ni kwa ajili ya Waislamu, tatizo ni kama itakuwa inaunga mkono maovu.

Au wewe unawasi wasi na nini? Pinda kama Waziri mkuu na Membe hawaoni tatizo!
 
Mahakama ya kadhi.
Hijab (wanawake wote)
Kufunga Ramadhani (Raia wote)
Adhabu ya kupigwa mawe (wazinzi wote)
Sikukuu ya mwaka mpya wa waislamu(wote hakuna kwenda job hata kama ni mkristo)
Marufuku ya bia na baa
Marufuku ya kitimoto.
Makanisa yasijengwe kwa urefu wa kuzidi urefu wa msikiti au nyumba ya muislam


Yote hayo lazima serikali ikubali kuyaingiza kwenye katiba

otherwise, katiba mtaisikia CNN

Mh! Nadhani hustahiki kumsemea mtu asiyekuhusu. fikiri kbla ya kusema kwanza.
 
Watu wengine machizi kweli yote uchokozi.
Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu tu.
Hijabu maana yake kujistiri hii kila dini inasema mbona masister wanavaa vizuri na wanavaa hijabu je wao ni waislamu.
wakristu wanafunga pia.
hakuna dini inayoruhusu kitimoto
Haki ya kusheherekea mwaka ni muhimu kupatikana na siku ya ijumaa kuanzaia saa tano iwe kupumzika
Hakuna dini inayoruhusu pombe je ipo?kama ipo itoe kifungu.
kuwa na makanisa makubwa wala haina maana yoyote.
 
huyu jamaa nimefuatilia posts zake nyingi. Ni mdini (mchukia uislamu) na mchokochoko. Lakini kwa mungu si kwa mzungu, kila mtu anagombea mungu yuko upande wake.. mwe! Hatukuzaliwa na dini, do we?

i hope umefuatilia na mada za akina malaria sugu,yaya etc ukaona zilivyojaa uchokozi kwa wakristu pia.
keep it up jerusalem.:whoo::whoo::teeth:
 
No wonder mmetumia siku thelathini tu ku-draft katiba. uchafu mtupu.
 
Mahakama ya kadhi.
Hijab (wanawake wote)
Kufunga Ramadhani (Raia wote)
Adhabu ya kupigwa mawe (wazinzi wote)
Sikukuu ya mwaka mpya wa waislamu(wote hakuna kwenda job hata kama ni mkristo)
Marufuku ya bia na baa
Marufuku ya kitimoto.
Makanisa yasijengwe kwa urefu wa kuzidi urefu wa msikiti au nyumba ya muislam


Yote hayo lazima serikali ikubali kuyaingiza kwenye katiba

otherwise, katiba mtaisikia CNN

Haujaeleza maoni yako, unafurahia haya au unalaani? lakini pia umejishushia hadhi kupita kiasi kwa thread hii, kwani hakuna mwislam mwenye mawazo mgando kama haya unayotaka watu waamini. Zaidi huu ni uchochezi wa kidini. kumbuka wanaosoma thread hii ni dini tofauti, level tofauti za kuelewa mambo. mfanon wengine wataona huu ni upuzi na aliyeanzisha thread in mpuzi. wengine wanaweza kuamini kuwa ni ya kweli na wakajenga chuki zisizokuwa za msingi. wengine hawatamaliza hata kusoma kwa kuona upupu, na vinginevyo.

Ushauri wangu: thread kama hizi ni za kuondoa mara moja kwenye JF (great thinkers)
 
Mbona hii ndoto hata abunuasi hakuiota? wee umeitoa wapi?
 
No wonder mmetumia siku thelathini tu ku-draft katiba. uchafu mtupu.

Kweli aisee inaonyesha ni jinsi gani watu walivyo shallow, siku 30 kuandaa katiba? Hawa hawako serious au hawajui walifanyalo

My Take: CCM wana kila sababu na kuruhusu mjadala mpya wa katiba na pengine watalazimika kuikubali hoja hiyo si kwa manufaa ya sisi wananchi bali ni kwa manufaa yao hasa ni kutokana na muundo mpya wa serikali ya Zanzibar ambao hautambuliki na katiba ya jamhuri. Pia swala zima la kadhi nalo linachangia sana. So tusidhani wamekurupuka tu kukubali mchakato wana yao hao
 
Back
Top Bottom