nina bsc. agriculture general (SUA 2006) na masters in intellectual property (Africa University,zimbabwe 2010) nimeomba kazi wizara ya kilimo na kwingine kila nafasi zikitoka sijabahatika kupata. wakuu yeyote anayeweza kunisaidia angalau nami nipate kipato ikiwezekana baada ya mda nami nijiari anisaidie pls. nipo dar es salaam. nawakilisha wana jf.