2mbaku
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 316
- 67
Sala yako itajibiwa na mungu wenu freemason, mnywa damu za watu kama mnazokunywa nyinyi. Mungu wa kweli awalaaniHiki chama kiendelee kuongoza nchi, kidumu, kizidi kuleta neema na amani kwa watanzania. chama kinapendwa mno hiki. ee mungu uliye hai kilinde dhidi ya wenye husuda na wanaokiombea mabaya hususan chadema na uwasamehe makosa yao kwani hawajui walitendalo. aaimen!!!!!!!