Nadhan wadau weng hayo maneno si mageni kwenu,aliyatamka mwalim Nyerere wakat aking'atuka,na hata tukifuatilia vikao vya CC na NEC ya CCM huko Dodoma tunaona kuna bango lina maneno hayo.Nyerere aliyasema hayo akiamin kuwa chama chake kina viongoz makini na kinaandaa viongozi makini,lakini mimi napata mashaka kwa yatokeayo leo.
Kwa mtazam0 wangu naamin TANZANIA yetu inayumba,tena inayumbishwa na haohao wana'CCM hasa wale wa CC na NEC,
jaman Tanzania yetu haiwez kwenda bila CCM?
Kwa mtazam0 wangu naamin TANZANIA yetu inayumba,tena inayumbishwa na haohao wana'CCM hasa wale wa CC na NEC,
jaman Tanzania yetu haiwez kwenda bila CCM?