bil 119 kwa sensa wakati zoezi la vitambulisho vitatolewa?

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
zoezi la sensa linalotakiwa kufanyika hivi karibuni ni sehemu ya ukosefu wa mipango thabiti, kwani tungeweza kulijumuisha zoezi la sensa ndani ya zoezi la utoaji wa vitambulisho na kuokoa zaidi ya bil 119, kama ukiweza kutoa vitambulisho kwa taifa zima , je si ni sawa na kuendesha sensa pia? .vitambulisho kutumia zidi ya bilioni 300 na sensa kutumia zaidi ya bilion 119 kwa taifa masikini si ni vema tukapunguza matumizi kwa kuyajumuisha mazoezi yote mawili pamoja.
 
zoezi la sensa linalotakiwa kufanyika hivi karibuni ni sehemu ya ukosefu wa mipango thabiti, kwani tungeweza kulijumuisha zoezi la sensa ndani ya zoezi la utoaji wa vitambulisho na kuokoa zaidi ya bil 119, kama ukiweza kutoa vitambulisho kwa taifa zima , je si ni sawa na kuendesha sensa pia? .vitambulisho kutumia zidi ya bilioni 300 na sensa kutumia zaidi ya bilion 119 kwa taifa masikini si ni vema tukapunguza matumizi kwa kuyajumuisha mazoezi yote mawili pamoja.
kamanda hujaenda mbali sana ni namna tu ya kutetea rasilimali zetu thaks mkuu, lkn elewa kuna utofauti, kuwa vitambulisho ni lonterm process yaani ni zoezi la mda mrefu na litakuwa endelevu, pia havitatolewa kwa kila mtzie, bali kwa wale wenye 18yrs and above. aafu sensa sasa ni tit4tat mkuu kuanzia mtoto wa dakika 0 mpaka mzee wa mkongojo na wale watakao kuwa safarini imekula kwao maana hawatahesabiwa! so ni sawa haya mazoezi kufanyika separetely
 
Back
Top Bottom