Bikira miaka 30

nami naungana na wengine kumpongeza dada huyo,kama kuna kitu cha thamani kwa mwanamke kumpatia mmewe siku wakioana ni hicho,ni ishara ya utulivu,uaminifu,mtu asiyefuata fuata upepo kama wengi mabinti wanajiingiza kwenye mambo hayo waonekane nao wamo.pia hatasumbuka wakati wa tendo la ndoa kujaribu kumlazimisha mmewe kufanya kitu ambacho alifanyiwa na mijibaba mengine hata kama hawezi kufanya kama wengine.


Mkuu, mimi nilikaa na Bikira kwa miaka 27, ilitolewa na Mume ninayeishi naye pamoja na kwamba hakuweza kusubiri mpaka siku ya ndoa. Ukweli ni kwamba, siku ya kwanza unaumia sana. Mimi ilinijengea hofu fulani kwamba kufanya mapenzi kunaumiza, na niliweza kuondoa hiyo dhana baada ya zaidi ya mwaka kwenye ndoa.
Namshukuru Mungu kua Mume wangu alijua sina experience na alijitahd kunisaidia na kunivumilia kwa hilo, tulienda zaidi ya hapo hata kuanza kuangalia picha/video za ngono ili niweze kujifunza(pamoja na kwamba kwa maadili na imani yangu sitakiwi kuangalia hizo picha/video).
Hivyo, huyo dada kama mmewe mtarajiwa ana hekima za kutosha, atamsaidia na atamheshimu kwa kujitunza kwake. Jambo la msingi amwambie ukweli ili ajue pa kuanzia.
 
Are you serious bro?
Bikra bado zipo dunia hii?

Hah hah hah nyie mnazan nani wanawatoa bikra? Zinatolewa na binadamu/wanaume walokuwahi, wewe umekuta used, jua kuna alokuta brand new akatumia,akaacha. Ukiuliza kuwa duniani kuna bikra unafanya nishangae.
 
HOpe 2 nilichomaanisha hapo ni kwamba hatakuwa na kumbukumbu ya kufanya ngono na wanaume wengine na kutaka afanyiwe kama alivyofanyiwa na z.kabla ya kuwa na mmewe,vinginevyo maumivu yapo lakini maumivu ni kitu gani,mfano mama hulia kwa uchungu wakati akijifugua mara mtoto akitoka hufurahia na kuishia kuuliza ni wa kike/kiume
 
si jambo la maana kuona anakwenda kuitoa bikra. mimi mwenyewe mke wangu nimemuoa akiwa na miaka 26 lakin bikra na hii huwa inanipa uhakika kwamba huyu mwanamke ni muaminifu kabisaaaa.
 
Ni Mwanamke mwenye umri wa miaka 30,ambaye anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na hajawahi kujamiiana na mwanamume anayetarajia kufunga naye ndoa wala hajamfahamisha kama yeye ni bikira katika umri huo wa miaka 30,kwani anajisikia aibu kubwa kuwa bikira katika umri huo.

Hivyo alichopanga kufanya kabla ya siku ya harusi ni kwenda clinic au kitui chochote cha afya kutoa bikira hiyo.

SWALI: Je ungepewa nafasi ya
kumshauri, ungemshauri aendelee na huo mpango wake au ungempa
ushauri gani?

Je wewe kama mwanaume,ungekuwa ndiyo huyo mume mtarajiwa na siku hiyo ukakuta bibi harusi ni bikira katika umri huo wa miaka 30 ungeipokeaje hali hiyo?

Ni kisa cha kweli.

Mi namshauri atulie tu! aongee na wanawake wenzake wazoefu wamfunde namna ya kumfurahisha mme wake.Huko Hospitali anaweza kukutana na wanaume/madoctor wapenda bikra wakaitoa kwa njia za asili ikawa ndo amri ya sita ishavunjwa hivyo!
 
Back
Top Bottom