mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
mnh pana uWALAKINI hapa
Daaah.. Yani jamaa anataka kuchukua mbuzi kwenye gunia?
Mwambie asiitoe maana yangu ina miaka 55 lakini bado nadunda nayo na sina wasiwasi ijekuwa huyo miaka 30!!
Ndugu naheshimu mchango na mawazo yako,
ila naona umetoa hukumu kimakosa hata kusema hii ni story ya kutunga au ni mambo ya kijinga ya wabongo.
Inawezekana ni kweli una experiace sana pengine na mambo haya au maisha kwa ujumla,lakini ufahamu kwamba bado hujaona na kusikia yote. Ndio maana hapo chini nimeandika hiki ni kisa cha kweli.
Mimi kujua kabla ya muhusika hilo ni jambo la kawaida sana kwa mwanamke kushare maswala yake ya ndani kwa mwanamke mwingine aliye karibu nae kuliko hata kwa mpenzi au mume wake.(Inaweza ikawa sahihi au kwa mwingine ikawa kinyume chake)
Pengine hiyo avatar ya kiume imekuchanganya kidogo ukadhani mimi ni mwanaume hapana.
Pia unaposema kuwa wapo watu ambao ni mabikira mpaka level za masters na zaidi,ataposikia habari kama hii ni faraja kubwa kwake tatizo anafikiri yeye ndio mwanamke pekee duniani ambaye bado ni bikira katika umri huo.
sio kwamba ana bikra ila hajawahi kufanya ngono ila bikra kwa sasa haiwezi kukaa kwa umri huu kwanz wakati wakujisafisha anatunia kidole sasa bikra itapatikana wapi
Are you serious bro?
Bikra bado zipo dunia hii?
Ni Mwanamke mwenye umri wa miaka 30,ambaye anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na hajawahi kujamiiana na mwanamume anayetarajia kufunga naye ndoa wala hajamfahamisha kama yeye ni bikira katika umri huo wa miaka 30,kwani anajisikia aibu kubwa kuwa bikira katika umri huo.
Hivyo alichopanga kufanya kabla ya siku ya harusi ni kwenda clinic au kitui chochote cha afya kutoa bikira hiyo.
SWALI: Je ungepewa nafasi ya
kumshauri, ungemshauri aendelee na huo mpango wake au ungempa
ushauri gani?
Je wewe kama mwanaume,ungekuwa ndiyo huyo mume mtarajiwa na siku hiyo ukakuta bibi harusi ni bikira katika umri huo wa miaka 30 ungeipokeaje hali hiyo?
Ni kisa cha kweli.
Hata nami nilishakuwa na demu aliyekuwa nayo akiwa na 32 yrold nikaikata. ila sikujua kama naikata au kujua kuwa anayo; hakuwa kuniambia. Lakini akiwa anajua kwamba anayo akiwa pia ananisikilizia kama hayo mambo nayajua.
Ukweli sikuwa nayajua ilia wakati tunaendela na mchezo nikamwuuliza unasikia maumivu? akanijibu hapana; du! nikaendelea lakini nikamwuuliza tena ngoma yako mbona
ndogo? Au umeipa tigo!!! duu alichonijibu
aliniambia unataka mchezo au vipi mbona
maswali ya kifisadi hayo?. Tukamaliza mchezo
wetu kwenye giza basi asubuhi namwuuliza
ngoja nikakununulie pedi hapo dukani basi
naona umeghafilika jana usiku ( periods
maana yake). Akaniambia hata wala
usishughulike na hiyo pedi damu tu ilitoka
kidogo ikaacha...! Nilifurahije!!!!!!! tena sana
kuikata bikira for the first time in my life.
kwni wengine walikuwa wameshanikatia sana
na mimi nimewakatia basi.
Ila sasa sikumwoa kwani she was too feminine na hasira nyingi. Sory for talking amini usiamini.
Hongera kwa experiance
Maskini kumbe alidhani amebaki peke yake,mwambie aa
ngalie kipindi cha RUBY kama an dstv huyo dada ana miaka 44 na yupo na mpenzi wake wote hawajafanya wanasubiri hadi mdada apungue unene waone na ndio wafanye[/
QUOTE]
Hata nami nilishakuwa na demu aliyekuwa nayo akiwa na 32 yrold nikaikata. ila sikujua kama naikata au kujua kuwa anayo; hakuwa kuniambia. Lakini akiwa anajua kwamba anayo akiwa pia ananisikilizia kama hayo mambo nayajua.
Ukweli sikuwa nayajua ilia wakati tunaendela na mchezo nikamwuuliza unasikia maumivu? akanijibu hapana; du! nikaendelea lakini nikamwuuliza tena ngoma yako mbona
ndogo? Au umeipa tigo!!! duu alichonijibu aliniambia unataka mchezo au vipi mbona maswali ya kifisadi hayo?. Tukamaliza mchezo wetu kwenye giza basi asubuhi namwuuliza
ngoja nikakununulie pedi hapo dukani basi
naona umeghafilika jana usiku ( periods
maana yake). Akaniambia hata wala
usishughulike na hiyo pedi damu tu ilitoka
kidogo ikaacha...! Nilifurahije!!!!!!! tena sana
kuikata bikira for the first time in my life.
kwni wengine walikuwa wameshanikatia sana
na mimi nimewakatia basi.
Ila sasa sikumwoa kwani she was too feminine na hasira nyingi. Sory for talking too much.
Dah! Yaani kweli tumefika mahali ambapo mwanamke ama mwanaume kuolewa na bikira ni kitu cha fedheha?! Maadili yameenda wapi? Kweli? Soon tutaambiwa ni fedheha kwa mwanamke ama mwanaume kutokua na nyumba ndogo!
Aisee! Soon itakua fedheha kutokuzaa nje ya ndoa hata kwa wanawake, manake niliwahi kushawishiwa eti kama kikivunjwa chungu ama kukiwa na laana ya ukoo, basi kama mwanamama kachakachua walau kuna ambao hawataathirika!
I won't be surprised Mungu akikiri wanadamu tumemshinda!