kwanza hata bible inasema heli wenye bikra kwa maana hao watamuona Mungu live bila chenga kwa sababu siyo najisi alafu kitu kingine uenda naye uwelewa wake wa kufikilia mambo ukawa mdogo sana kama anashindwa tambua
kuwa bikra ni adimu sana siku hizi na
ukitokea unayo ni furaha hata kwa yule mume
anayetarajia kukuoa na aka ka inchi ka hapa
jiran kwa mswati yeye angeolewa na mfalme
ushauri wangu naomba mume wake
mtarajiwa aikute hiyo bikra na tena ije
imsumbue sana mume wake kuitoa na
akibahatika kuitoa na damu zichafue kidanda
na mashuka
Hilo mbona si jambo la ajabu? Ninaawafahamu watatu ambao walipoteza u-bikra wao siku ya harusi katika umri wa 33-35 mmojawao ni shemeji yangu.
Mwambie asiitoe maana yangu ina miaka 55 lakini bado nadunda nayo na sina wasiwasi ijekuwa huyo miaka 30!!
Dah! Yaani kweli tumefika mahali ambapo mwanamke ama mwanaume kuolewa na bikira ni kitu cha fedheha?! Maadili yameenda wapi? Kweli? Soon tutaambiwa ni fedheha kwa mwanamke ama mwanaume kutokua na nyumba ndogo! Aisee! Soon itakua fedheha kutokuzaa nje ya ndoa hata kwa wanawake,manake niliwahi kushawishiwa eti kama kikivunjwa chungu ama kukiwa na laana ya ukoo,basi kama mwanamama kachakachua walau kuna ambao hawataathirika!
I won't be surprised Mungu akikiri wanadamu tumemshinda!
Aje kwangu nimsaidie kuitoa hiyo bikira..!
Yako labda ya kichina iyo au imejirudisha baada ya kufikia menopose na kuwa sexualy inactive kwa muda mrefu!Mwambie asiitoe maana yangu ina miaka 55 lakini bado nadunda nayo na sina wasiwasi ijekuwa huyo miaka 30!!
dada king'asti hujiulizi huyo mleta mada kajuaje yote hayo? .................tena ya mtu asiyemhusu na hata kabla mhusika mwenyewe (mchumba wake) hajajua??............hiyo ni story ya kutunga tu na wala isikuumize kichwa...................... but
usishangae sana mambo ya kijinga ya
wabongo............... mi nina ka experience
kadogo ka bongo na majuu............. bongo ndo
umalaya unaonekana kuwa fasheni............
majuu bikira nyingi sana wala asikudanganye
mtu................ tena watu ni mabikira mpaka
level za masters and beyond and they are
happy.................... tofauti ni kuwa majuu watu
wako wazi kabisa kuhusu masuala haya, kama
ni bikira anakuambia wazi kabisa wala
hajifichifichi eti akaitoe kliniki!!................ na
kama si bikira vilevile anakuambia wazi kabisa
hata kama ni tigo (ashakum si
matusi).................
Kama hiyo ni kweli basi nimpe pongezi mwadada kwa kujitunza sana ni msafi huyo, kibailogia kufanya mapenzi kunatokea naturally, mambo mengine ya fassion yanatokana na uzoefu, wewe dada acha heshima yako aione mmeo,
kuanzia hapo mtaanza kugundua stail
tofautitofauti kutoka mitandaoni. Mambo ya
clinic acha kabisa. You are
star***********************************
***:a s 465:
I loved god because he loved me before i was conceived
kwanza nampongeza sana kwa kuwa mwaminifu,hakuna zawadi nzuri mwanamke anayoweza mpa mmewe siku wameona kama kumkuta bikira,hii inonyesha alimsubiri mmewe tu.faida ni kuwa ndoa nyingi
zinaharibika kutokana na wengi kufanya
tendo la ndoa na watu ambao hawaji kuolewa
nao au haji kuwaoa,kila mtu ana maumbile
tofauti na ufanyaji wa tendo la ndoa
tofauti,wengi hutaka wenzi wao wafanyiwe
kama walivyofanyiwa na mtu
furani,mwishowe ni kutoka nje ya ndoa na
vurugu nyingi au kupata magonjwa.kama
hajafanya hawezi kusumbuka na hilo,atapata
tu uzoefu wanapokuwa na mmewe kwani
adamu na eva walianza vipi?
Mwambie asiitoe maana yangu ina miaka 55 lakini bado nadunda nayo na sina wasiwasi ijekuwa huyo miaka 30!!