Na hapo hujaingilia mjadala?Rest assured that, can only happens to clear of confusion or uncertainty.
Mtumishi.
Mohammed Shossi amekuwa kinara wa kundi hili.
Kawachongea wengi sana.
Mimi sitaki unafki nimeona bora niweke hadharani no matter BAN.
He needs it, I assure you.Kupumzika na MR, akirudi atakuwa kapungua kama Kilo 3 hivi :lol::lol::lol:
Kuna jamaa wanaingia hapa jf na kuchokoza sana ukijibizana nao watakuletea hasira. nadhani huyu mkuu alijibizana nao kwa hasira. Pole sana! Tuwe makini!
He will dear, atarudi na Tshirt ya JF kabisa
Infact, biashara ya Tshirts zenye print ya comparison ya mwanasiasa Wa***a na yule jamaa wa mwituni inaweza kuwa biashara nzuri sana, nitamshauri aanzishe that line of business,,,,,,TSHIRTS za wanyama wa mwituni.
Kiroba kitaondoa period? we Elia weweeee!
Halafu ujue anampa Bigie tuisheni, tuisheni na viroba haviendani kabisa,.....tuisheni itageuka kuwa match/ sorry National exams
He needs it, I assure you.
Kheeee Kheeeee MODS wanabebwa kwenye mijadala kama Spika wa BungeNa hapo hujaingilia mjadala?
sheria si zipo? clarifications kwenye mijadala means unaigilia mjadala with or without passion.
Basi nitamwomba Bigie atuambie tuisheni ilikwisha aje!Mkuu kuna siri kubwa ndani ya kiroba! akifuata ushauri wangu atakuambia habari yake! :lol::lol::lol:
Nipo dear mzima wewe:focus:
Big Banned
Hahahahahaaa!!!!:lol::lol::lol:Kheeee Kheeeee MODS wanabebwa kwenye mijadala kama Spika wa Bunge
Abee Elia :hug:
Mi mzima nakula mishikaki, Itakuwa Big wamempandisha mori akapanda, Mods wakamramba juu kwa juu....
Basi nitamwomba Bigie atuambie tuisheni ilikwisha aje!
Mkuu, Bigie hakupandishwa mori, alimwita mwanasiasa jina la mnyama wa mwituni, then Quinine akafanya the same, Quinine akalamba BAN, Bigie akaendelea kupeta, Akaja MC person mmoja akaanzisha thread ya kulalamika kwa nini Bigie hajalambwa BAN wakati mshikaji wake amelambwa BAN.Mi mzima nakula mishikaki, Itakuwa Big wamempandisha mori akapanda, Mods wakamramba juu kwa juu....