Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Jamani nipo nae hapa pembeni nampa tuisheni, ila anasema amewamic sana atarudi baada ya wiki moja :lol::lol::lol:
MR, MR, MR :focus:
Jamani nipo nae hapa pembeni nampa tuisheni, ila anasema amewamic sana atarudi baada ya wiki moja :lol::lol::lol:
Afadhali ukae nae karibu kule home vipi nimekusoma juu kwa juu wewe tuonane baadae basi
Karibu Korogwe. Korogwe raha sana, hakuna Siasa wala mbuga za wanyama.
Nasikia Dar kuna simba huko mbagala, sokwe huko mikocheni na nyani na tumbili huko changanyikeni.
asee......Bigie anahitaji mapumziko, tuisheni taratibu bibie!Jamani nipo nae hapa pembeni nampa tuisheni, ila anasema amewamic sana atarudi baada ya wiki moja :lol::lol::lol:
Karibu Korogwe. Korogwe raha sana, hakuna Siasa wala mbuga za wanyama.
Nasikia Dar kuna simba huko mbagala, sokwe huko mikocheni na nyani na tumbili huko changanyikeni.
Hiyo tuisheni kwa bigie unamfanyia kwa wapi sweetheart!!Poa swetie baadae nitakuwepo nipo so down 2day sijui ndo mambo ya period lol :lol::lol::lol:
Poa swetie baadae nitakuwepo nipo so down 2day sijui ndo mambo ya period lol :lol::lol::lol:
He will dear, atarudi na Tshirt ya JF kabisa
Infact, biashara ya Tshirts zenye print ya comparison ya mwanasiasa Wa***a na yule jamaa wa mwituni inaweza kuwa biashara nzuri sana, nitamshauri aanzishe that line of business,,,,,,TSHIRTS za wanyama wa mwituni.
Nafikiri Bigie aliwashauri wafanye hivyo,Ha ha haaaa, mkuu si wafungue mbuga ya wanyama!!!!
Kwa hisani ya Bigie. you are welcome.Memo shauri yako usije na wewe ukala BAN umenichekesha maana duh asante mwaya
Kiroba kitaondoa period? we Elia weweeee!Pata kiroba!
Halafu cha kushangaza MODS nao wanajiingiza kwenye mjadala kheeee kheeee lol
he will come back either way mkuu.
Ngoja apumzike kwanza.
Marytina dear, Bigie anakusalimu sana.Mohammed Shossi amekuwa kinara wa kundi hili.
Kawachongea wengi sana.
Mimi sitaki unafki nimeona bora niweke hadharani no matter BAN.