gud.
mwambie MAMA HAPEND....na usinichokoze tena...
:kiss:
gud.
mwambie MAMA HAPEND....na usinichokoze tena...
Oh! kwanza uwe tayari kuwasamehe, halafu kama ni kufidia basi nitasimamia walipe haraka. Hizo adhabu kali mno kwa watoto wa mwanamke mwenzio
apana.ni yule mtoa vizazi vya kike.
anapenda sana kufanya safari na akifika kati kati ya safar anasimamisha tukutuku na kuzindika kichaka.
ana pilipili na hoho kwenye friji la mama bg
anapenda kutoa lami na kuweka vumbi
hahaha anataka waende wote wakaangalie mazao yao shambani huku wameshikana mkono with a big smiles!:teeth:
mmh kweli?bas nishauri niwwape adhabu gan?
hahaha anataka waende wote wakaangalie mazao yao shambani huku wameshikana mkono with a big smiles!:teeth:
:kiss:
unafanaya nini apo?
rr usinichezee wewe nakwamboia we endelea kuniboa ata remote stakwachia tean..adahabu yako itakuwa jupika kuosha vyombo na kudek chooni ...xmas mpk new yr
Kwa makosa waliyofanya wape wiki moja tu waombe msamaha, ila wasipofanya hivyo basi nami nitajitoa maana watakuwa wametaka wenyewe. lakini kwa leo nawaonea huruma hakyanani kabisa, hizo adhabu!!! hata mimi zingeniweka pabaya....
:love::love::love::love:
Rose wauwaaaaaaaa.....hivi mbona hata nikitangaza adhabu wala hujali...???
hahahaa hahha mimi na wewe tena ?itaje tena itaje tena wima ntajali ma dear as long as ths xmas n nw yr ntakuwa huru kale KASUMBUFU KANGU NTAKUWA NIMEKAFUNGIA UKOOOOO UVUNGUNI ...so wewe sema tu mintakusikiliza...tuanzie kwa eliza then tumalizie ukooooooooooooo kwa bare fooot...!!!!!!!!
hahahaa hahha mimi na wewe tena ?itaje tena itaje tena wima ntajali ma dear as long as ths xmas n nw yr ntakuwa huru kale KASUMBUFU KANGU NTAKUWA NIMEKAFUNGIA UKOOOOO UVUNGUNI ...so wewe sema tu mintakusikiliza...tuanzie kwa eliza then tumalizie ukooooooooooooo kwa bare fooot...!!!!!!!!
sawa
mi nachokitaka amwambie mama bg ..ROSE HATAKI...
WE NGOJA UYU DAWA YAKE KUMFUNGIA TU UVUNGUNI BASI AKITOKA UKO ATAKUWA AMENYOKA....kisusio na pilau+mbege ntakuwa namrushia uko uko uvungun..
mambo vipi wewe mrembo?ndo tabia gani kuniweka pending jana mtoto wa mwanamke mwenzio?
najua hata kama atanyamaza asijibu hapa lakini ujumbe utakuwa umefika. Akiendelea hata hizo neema usimpe tena maana atakuwa anatusumbua. tumwonee hurima yeye halafu yeye hajali!!!!
Am a dog....mbwa huwa analia au kucheka?
The Following User says Thank You to Rose1980 For This Useful Post and he finds BALLANTINE'S a useful drink for this holiday season: