Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Wapendwa kuna mambo mengine unawezasema ni uchawi lakini sitaki kufika huko
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja mweusi,mweupe na mwingine madoa doa
sikutaka kuamini ijumaa nkaita pale usiku nkakuta lundo la watu wana subiri kupewa
nyama ya mbuzi....niliposhuuka na kuanza kudadisi nkaambiwa yale yale sikusita kuwasha
gari na kuondoka nkasema yawezekana Mungu ameamua kuwapitishia neema watanzania
sasa kama wewe unaitaji nyama bure kuanzia kilo 2 nk njoo usiku
swali langu kuleta kwenu hii ni je mtu akila hii nyama ana kosa ama ina madhara???nasikia magodown mengi tu pugu oad wao wanachinjamchana live na kugawa kwa wafanyakazi na damu kumwaga kwenye mageti...anyway sitakikufika zaidi tujulishane kwa hili
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja mweusi,mweupe na mwingine madoa doa
sikutaka kuamini ijumaa nkaita pale usiku nkakuta lundo la watu wana subiri kupewa
nyama ya mbuzi....niliposhuuka na kuanza kudadisi nkaambiwa yale yale sikusita kuwasha
gari na kuondoka nkasema yawezekana Mungu ameamua kuwapitishia neema watanzania
sasa kama wewe unaitaji nyama bure kuanzia kilo 2 nk njoo usiku
swali langu kuleta kwenu hii ni je mtu akila hii nyama ana kosa ama ina madhara???nasikia magodown mengi tu pugu oad wao wanachinjamchana live na kugawa kwa wafanyakazi na damu kumwaga kwenye mageti...anyway sitakikufika zaidi tujulishane kwa hili