BigBon na uchinjaji mbuzi usiku, nini maanake?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Wapendwa kuna mambo mengine unawezasema ni uchawi lakini sitaki kufika huko
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja mweusi,mweupe na mwingine madoa doa
sikutaka kuamini ijumaa nkaita pale usiku nkakuta lundo la watu wana subiri kupewa
nyama ya mbuzi....niliposhuuka na kuanza kudadisi nkaambiwa yale yale sikusita kuwasha
gari na kuondoka nkasema yawezekana Mungu ameamua kuwapitishia neema watanzania
sasa kama wewe unaitaji nyama bure kuanzia kilo 2 nk njoo usiku

swali langu kuleta kwenu hii ni je mtu akila hii nyama ana kosa ama ina madhara???nasikia magodown mengi tu pugu oad wao wanachinjamchana live na kugawa kwa wafanyakazi na damu kumwaga kwenye mageti...anyway sitakikufika zaidi tujulishane kwa hili
 
Kuna m2 humu ndani alikua anaomba ushauri wa kufuga majini. Naamini kufuga majini ni Next stage after this. Nikiwa na maana kwamba hii stage ameshapita. Ningemuomba kama yupo karibu atupe msaada. Leo inaweza kuwa mwisho wangu wa kujaza mafuta pale.
 
SAMSON MFALILA nakuomba usirudie tena kwenda kushuhudia wachawi! maana wakikugundua siku ingine wewe utakuwa kafara yao chunga sana ndugu yangu bado tunakuhitaji
 
Ngoja niende ijumaa hii usiku pale BigBon Sinza huenda namimi nikakpata Mbuzi sijui hata hao Waarabu wanawaita ndugu zao wa kiarabu kuja kupata hiyo nyama au ndio wamatumbi tu na ulofa wetu,kisa bure,jamani bure aghali eh shauri yenu
 
Wapendwa kuna mambo mengine unawezasema ni uchawi lakini sitaki kufika huko
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja mweusi,mweupe na mwingine madoa doa
sikutaka kuamini ijumaa nkaita pale usiku nkakuta lundo la watu wana subiri kupewa
nyama ya mbuzi....niliposhuuka na kuanza kudadisi nkaambiwa yale yale sikusita kuwasha
gari na kuondoka nkasema yawezekana Mungu ameamua kuwapitishia neema watanzania
sasa kama wewe unaitaji nyama bure kuanzia kilo 2 nk njoo usiku

swali langu kuleta kwenu hii ni je mtu akila hii nyama ana kosa ama ina madhara???nasikia magodown mengi tu pugu oad wao wanachinjamchana live na kugawa kwa wafanyakazi na damu kumwaga kwenye mageti...anyway sitakikufika zaidi tujulishane kwa hili


NDUGU YANGU SAMSON BIBLIA INATUAGIZA "vyakula vyote ni halali lakini si vyote vifaavyo; chakula ni kwa tumbo na tumbo ni kwa chakula, BALI MSILE CHOCHOTE KILICHITOLEWA SADAKA.UKILA UNASHIRIKI UOVU WAO.
 
NDUGU YANGU SAMSON BIBLIA INATUAGIZA "vyakula vyote ni halali lakini si vyote vifaavyo; chakula ni kwa tumbo na tumbo ni kwa chakula, BALI MSILE CHOCHOTE KILICHITOLEWA SADAKA.UKILA UNASHIRIKI UOVU WAO.


ni kweli mpendwa ila kuna shemu wanasema viingavyo si najisi najisi vitokavyo inakuwaje ...naomba msaada

APPOSTEL
SAM
 
Msiende kuchukua hizo nyama za makafara.
Zina maagano na mashetani na mapepo, sio nzuri kwa afya yako ya imani na ya kimwili pia.
 
ni kweli mpendwa ila kuna shemu wanasema viingavyo si najisi najisi vitokavyo inakuwaje ...naomba msaada

APPOSTEL
SAM

kuwa makini Mtu wa Mungu,hiyo ni ibada ya mashetani na hizo nyama ni kama chakula cha shetani....don't be part of it. kuna maneno au misemo inayoambatana nayo ambayo inadhihirisha kuabudu miungu mingine badala ya Mungu aliye hai yaani YEHOVA.
 
hiyo ni nyama a makafara ukila ni dhambi na ww utakuwa umeshiriki ibada ya mashetani epuka
 
kuwa makini Mtu wa Mungu,hiyo ni ibada ya mashetani na hizo nyama ni kama chakula cha shetani....don't be part of it. kuna maneno au misemo inayoambatana nayo ambayo inadhihirisha kuabudu miungu mingine badala ya Mungu aliye hai yaani YEHOVA.

Si vizuri hata kuzikaribia, around kunakuwa utukufu wa mapepo na mapepo yenyewe hata hao wanaokwenda kuchukua hizo nyama za bure yawezekana si watu ni majini. Ni vyema kuwa waangalifu na yanayotukia pia, si kila kinachotokea lazima ukishuhudie.
 
Hiyo ni moja ya mila walizopewa na waganga wao kuwa LAZIMA KUCHINJA HAO MBUZI LASIVYO WATAKUFA PAMOJA NA VIZAZI VYAO VYOTE ama WATAFILISIKA.......Utajiri kazi jamani lol! :decision:
Nilikuwa napenda kwenda pale kujaza mafuta na kununua gesi kwanzia leo nimekata mguu sikanyagi tena pale
 
Nataka nifuge majini kwa ajili ya kuniingizia pesa na kunipa umaarufu.

Je ni wapi ntapata mtaalam wa kunisaidia kufuga viumbe hivyo mantashahu.
Post yenyewe hiyo hapo juu.
Hakika mwanzo wa ngoma ni le le le
Kuna m2 humu ndani alikua anaomba ushauri wa kufuga majini. Naamini kufuga majini ni Next stage after this. Nikiwa na maana kwamba hii stage ameshapita. Ningemuomba kama yupo karibu atupe msaada. Leo inaweza kuwa mwisho wangu wa kujaza mafuta pale.
 
hahahaha lazima watambike kama wanajua mafuta yao wanayapata kupitia mzee wa giza... hayo ndo malipo wanayotoa na mbaya ni kwamba wanawalisha watu nya hiyo waliyoitoa sadaka mh bila shaka baada ya muda hao walaji huhamishwa kimsukule kwenda kuchimba mafutaaaaa hahahahahah du kazi ipo.
Jamani mrudieni Mungu maana hizi ni zama za uovu mweeee.
 
Tuchunguze pia na ajali nyingi zinazotokea humu mjini yayo magari/pikipiki zilijazia wapi mafuta!! unaweza kuta hao jamaa wanawatoa hata watu
muhanga. Tuwe makini.....:eyeroll2:
 
:mad2:VP na mafuta yao tuwasusie, kwani yenyewe hayana kafara?

wachungaji wanasema fata ninayosema usifanye ninayotenda sasa sijui tukilamba mafuta yao tunazindika ama??embu wachungaji tusaidien kwa hil rev masanilo tusije ulizwa kwenye ufalme wa baba wa mbinguni
 
tuangalie na risiti zao unaweza kuta maa alama ya free mason mnayajaza kwenye gari kumbe lohhh tanzania
 
Kheri anae chinja mbuzi kama kafara kuliko anae ua makumi ya watu barabarani.
 
Iwapo mbuzi alikuwa na afya nzuri kabla ya kuchinjwa, haina tabu kumla alimradi mtu ana imani kamili na ulinzi wa Mungu wake. Mashetani /mapepo hayammwezi Mungu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom