Megawatt B
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 259
- 69
Miss Tz 2011 Salha, ameasili (Adopt) mtoto mchanga aliyeokotwa na anatunzwa na katika hospitali ya Muhimbili. amempa jina lake la Salha. Ni jambo jema anastahili kupongezwa
sos of info plzzzzz!!!
hilo nalo nenoNi kweli ametangaza kumuadopt mtoto kichanga ambaye mama yake alifariki na baba hajulikani (jumapili kwenye kipindi cha 'njia panda')...lakini, kweli anaweza kuwa mama wa mtoto wakati ndio yupo katika kilele cha u'celebrity' akiwa na umri mdogo hivyo? Je ana vigezo vya kumuwezesha kuadopt mtoto (umri, kipato cha uhakika, makazi, mwenza, uwepo wake nyumbani (umri na status yake inamruhusu kwenda party after party all night) etc.)...na pia huyo ni mtoto mchanga anahitaji maziwa, kwa kuwa Salha si mama yake inabidi atumie formula...cost, maandalizi yake yanahitaji usafi wa hali ya juu na sio tu kumuachia house girl ayaandae?
nimependa huruma yake mpaka kufikiria kufanya extreme kumsaidia kichanga hicho....lakini sidhani kama itakuwa 'for the best interest of that baby' kama Salha atafanikiwa kumuadopt!
Hapana! si vyema kuwaza kushindwa kila wakati. Tusiwe na mtazamo mbaya wa uamuzi huu, inatakiwa tumtakie yeye na mtoto maisha mema. Huenda hicho kichanga kikawa ndiyo sababu ya kumfanya asiwe mpenzi sana wa starehe kama tunavyohofia mabinti wakisha fikia hapo. Nadhani haya ni mambio ya kukuzwa katika nchi yetu.Ni kweli ametangaza kumuadopt mtoto kichanga ambaye mama yake alifariki na baba hajulikani (jumapili kwenye kipindi cha 'njia panda')...lakini, kweli anaweza kuwa mama wa mtoto wakati ndio yupo katika kilele cha u'celebrity' akiwa na umri mdogo hivyo? Je ana vigezo vya kumuwezesha kuadopt mtoto (umri, kipato cha uhakika, makazi, mwenza, uwepo wake nyumbani (umri na status yake inamruhusu kwenda party after party all night) etc.)...na pia huyo ni mtoto mchanga anahitaji maziwa, kwa kuwa Salha si mama yake inabidi atumie formula...cost, maandalizi yake yanahitaji usafi wa hali ya juu na sio tu kumuachia house girl ayaandae?
nimependa huruma yake mpaka kufikiria kufanya extreme kumsaidia kichanga hicho....lakini sidhani kama itakuwa 'for the best interest of that baby' kama Salha atafanikiwa kumuadopt!
Apongezwe kwanza na apewe suport malezi si kipato ni maamuzi tu,kuna wazazi wanakila kitu malezi yamewashinda na ss wazazi wetu wametulea kwa shida sana na tupo hapa mwenyezi mungu kajalia,naamini ataweza cos ameamua na mungu atamuwezesha ataweza tu,kuna dada nae alikuwa miss anamlea mtt na ameweza mtt ameanza chekechea maamuzi tu tusimkatishe tamaa,big up again mungu atakutanguliaPoor child ,Katoka kwanye Tragedy ana kwenda kwnye tragedy. Nashindwa kuelewa kwa vigezo vipi , je ni ku adopt au kuwa sponcer yani kumlipia mahitaji akiwa kwnye kituo cha kulelea? maana kama mdau hapo juu aliivyo sema , sioni vigezo vya huyu Mrembo kufiti kua mama, Hii Ishu ilo under Clouds na sijui kama ni yakujilazimisha au imetumiwa busara.
To the people criticising miss tz. First and foremost y'all don't know her personally to make such surface judgements. Ur concern is valid but a bit extreme. Why is it so hard for people to wish someone else well instead it's always judgmental. I'm sure she has valid reasons for her crucial decision and if it were up for debate, she would have asked for people's opinion. If you want to be a critic, be constructive. Roho ya kwanini na yatamshinda haisaidii kitu.
strategy nzuri ya kuingia miss world.
wao: what impact have had on ur society?
yeye: i adopted an orphaned kid blah blah my poor country blah blah
riwa u ar right,i am also worried huyo mtoto ataenda kumtupia wazazi wake. na natumaini yeye salha hatakua a bad influence kwa mtoto (nimemkumbuka wema sepetu,kha!)
Baadhi ya vigezo vya kuadopt mtoto tz ambavyo vilinishinda mimi ni kuwa uwe ndani ya ndoa na tayari uwe na watoto kuanzia wawili ambao ni wa kwaknw ili kuthibitisha uwezo wako wa kumlea..sasa sijui kama yeye ameweza kutimiza hvyo..Vigezo vya kuasili mtoto ni vipi kwa tanzania? Nia ya salha ni nzuri lakini miss tanzania mwenye bado analelewa pia na mlolongo wa matukio yasiyo mazuri kwa mamiss wa hivi karibuni sijui litakalo fuata.
Baadhi ya vigezo vya kuadopt mtoto tz ambavyo vilinishinda mimi ni kuwa uwe ndani ya ndoa na tayari uwe na watoto kuanzia wawili ambao ni wa kwaknw ili kuthibitisha uwezo wako wa kumlea..sasa sijui kama yeye ameweza kutimiza hvyo..
King'asti...kama ilivyokuwa kwamba huzai mtoto ukitegemea wazazi wako ndio wakulelee, vile vile huadopt mtoto ili wazazi wako wakulelee! Nilikuwa nadiscuss hili na watu wa Clouds (My friend Dr Isaac Maro na wenzake) nikawaambia Miss Tz sio ajira, sio kazi ya kipato cha uhakika..wakaniambia binti kwao yuko njema, kama ndio hivyo..basi wazazi wake Salha ndio wamuadopt huyo mtoto, yeye bado! Hapa naona kabisa huyu mtoto atakuwa wa charity na kutumika kwa fund raising bla bla blaah, may be platform kuanzisha NGO or an orphanage centre...will that be for the interest of the poor child!?
safi riwaNi kweli ametangaza kumuadopt mtoto kichanga ambaye mama yake alifariki na baba hajulikani (jumapili kwenye kipindi cha 'njia panda')...lakini, kweli anaweza kuwa mama wa mtoto wakati ndio yupo katika kilele cha u'celebrity' akiwa na umri mdogo hivyo? Je ana vigezo vya kumuwezesha kuadopt mtoto (umri, kipato cha uhakika, makazi, mwenza, uwepo wake nyumbani (umri na status yake inamruhusu kwenda party after party all night) etc.)...na pia huyo ni mtoto mchanga anahitaji maziwa, kwa kuwa Salha si mama yake inabidi atumie formula...cost, maandalizi yake yanahitaji usafi wa hali ya juu na sio tu kumuachia house girl ayaandae?
nimependa huruma yake mpaka kufikiria kufanya extreme kumsaidia kichanga hicho....lakini sidhani kama itakuwa 'for the best interest of that baby' kama Salha atafanikiwa kumuadopt!
Si roho ya kwa nini....inategemea unaliangalia suala hili kwa jicho gani! Wewe umeangalia upande wa Salha, what she wants...mimi naangalia upande wa mtoto, how best can this child be served! Na mara zote kwenye adoption ndio jicho linalotumika hilo, unamuangalia mtoto na haki zake kama zitaweza timizwa na mama/mwanamke/familia inayomuadopt. Huko uliko ughaibuni wanawake/couples zinazoadopt watoto huwa zinatakiwa hata kuattend classes fulani za malezi, au wengine kuattend sessions za counselling kuwatayarisha...kwani unapoadopt mtoto kisheria ni kama wako wa kumzaa (sio jambo la mzaa mzaa tu sababu tu 'you are on camera')!
Siku hiyo Salha alienda Muhimbili akiwa hana wazo la kuadopt mtoto...ni vizuri aliguswa na akataka kuadopt mtoto, lakini uamuzi wa kuwa na mtoto (iwe wa kuzaa mwenyewe au kuadopt) hauji ghafla hivyo in front of a camera! Ningeona ni busara zaidi kama baada ya kumuona yule mtoto akarudi nyumbani na akafikiria na kuomba ushauri jinsi gani ya kumsaidia yule mtoto, kama adoption ndio ingeonekana jibu sahihi basi na iwe hivyo...sio tu on the camera 'am going to make this baby mine, and call her Salha', it takes more than that...if youa are a parent, unanielewa nasema nini...kama bado, basi utakuja nielewa siku moja!
hivi taratibu za kuadopt mtoto kwa tz zikoje?