papito huyo mbona sio mwarabu ila tu ningozi ambayo naitunza kwa vinakshi na
nutrients kibao kuhakikisha hata inapogusana na ngozi nyingine inakuwa nyororo na
kuleta raha. nywele kama unavoelewa lazima zipambwe! ukitaka kuweza tu webcam ndio mambo yote.
Eti wasemaje?:flypig:yamekuwa haya.....?
Hebu nikajigijigy mie...
Hapo ndipo huwa nakukubali, uko composed hadi raha; no rush ni full kuweka Mazingira sawa. Sept is okay with me, nishaset alarm ya a week kabla!
Kwa maana hiyo umejikoroga na umejipamba jwa nywele za maiti? Rangi na nywele ulizoumbwa nazo hazina mvuto?
Uzuri wa nkebe.
Mwanzoni nilidhani ni utani tu uhusiano uliopo baina ya HYGEIA & Erotica,but nimehakikisha mwenyewe
nilipoenda Kilimanjaro kumtembelea Hygeia na kukuta picha aliyoipiga na Erotica kwenye album yake.
Nadhani ilianza kama utani kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/jf-chit...ica-leyla-mwenda-angekuwa-gelfrend-wangu.html.
But kweli kipendacho roho hula nyama mbichi.Big up sana HYGEIA & Erotica.
Ila Erotica punguza ucheshi na utani mwingine ujue unawavutia wengi.
nimewachumu, nimewakiss, nimewa mwaaaaaah. wamefurahije? wanahamuje ya kukuona
wewe na mwenzato? ndio ujue sasa twins wana kiherehere. teh teh teh, but so sweet.
Yaan wewe Excellent kuchekacheka na mimi siku ile kumbe ulikuwa kwenye ukachero wa kukwapua picha yangu na Erotica kwenye albam? Niliitafuta sana nikashangaa imeenda wapi.Utakapokuja Desemba ntakuwa mwangalifu sana maana tumepiga picha nyingine moto zaidi za akshen. Naogopa ukizifuma hizo utazipeleka kwa Shigongo.
Lakini Exe, nisikushutumu sana maana ulitaka kuwadhihirishia wana chit-chat kwamba ule uzi wangu wa IMAGINATIONS umezaa matunda na kimwana Erotica amenasa. Nilipenda sana Gwangambo aone hiyo picha ingawa inaonyesha nusu ya kazi nzito tulokuwa tukifanya. Sehemu ya kichwa na mabega ndo yaonekana ila uki-imagine kinachoendelea kuanzia tumboni na kuelekea magotini, ndipo hapo Gwangambo atapiga pu****** ya kulipia.
Nawashukuru wale wote mliotutakia mema, na tunaahidi kuendeleza upendo wetu milele.
afroDenz mamie, tunaomba utupambe!