Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
sabodo nae msanii sana amesindwa kuyasemea mambo mengi ya nchi amekurupuka kwenye simu tu???mengine jeee?kama kweli ana uchungu nanchi hii...aweke orodha ndefu sana ya maasi yote ambayo yanadididimiza hali ya wananchi wengi..simu ni mojawapo litajadiliwa kupitia vyombo husika ila mengine je?
Yaelekea Mzee huyo humjui, tafuta na pekua kwenye internet utapata mwanga