Big quake in Haiti 7.0 magnitude

INASIKITISHA JAMAN, INAMANISHA WATU WEUSI TUMELAANIWA? MAANA JAMAN KAMA MNAKUMBUKUMBU KUNA MJAMA MMOJA ALISHINDA NOBEL PRIZE AKASEMA WATU WEUS AKILI NDOGO. SII KWEL TATIZO KUBWA AFRICA TUNALO TUMEATHIRIWA KISAIKOLOJIA THAT IS Y TUNAONEKANA KITOKO, HAITI KWAKIWANGO KIKUBWA WAPO WATU WEUSI NA NINACHO AMIN HAYA NI MAJANGA KAMA MAJANGA MENGINE NA UWENDA YAPO MAJANGA MAKUBWA YATAIPATA MIJI MIKUBWA KAMA NEW YORK AND WASHNGTON DC SO SIJUW ATASEMAJE? Mungu awasaidie watu wa Haiti.
 
Huyu mzee anatumia dini tu kama kisingizio

alikuwa ni mshirika mkubwa saana wa Charles Taylor (akiunga mkono unyama waliofanyiwa wananchi wa liberia) na alikuwa na machimbo ya dhahabu huko Liberia.ana chuki saana na hii ngozi nyeusi na ikumbukwe hata Obama alipokuwa anapambana kukwaa urais alikuwa anampinga saana. na nimajuzi juzi tu alikuwa na kashfa alitoa unabii kwamba US ingeshambuliwa kwa nuclear na halikutokea na watu walimchallenge saana,

humu dunian i kuna vibabu vinazeeka vibaya kweli
 
Very touching story from the rubble...Mungu ni mkubwa!


slide_4410_61912_large.jpg



A Spanish rescuer holds 2-year-old Redjeson Hausteen Claude, as his father Reginald Claude, left, looks on in Port-au-Prince, Thursday, Jan. 14, 2010


slide_4410_61911_large.jpg


Spanish and Belgian rescuers pulled Claude from the rubble of Tuesday's earthquake


slide_4410_61909_large.jpg



slide_4410_61910_large.jpg


Redjeson Hausteen Claude reacts to his mother Daphnee Plaisin, after his rescue.
 
Hivi hawa maseismologist hawakuiona hii jamani utleast watu wangekuwa atention kidogo,very sad
 
Wakristo wanalaana ya "Ubaguzi" poleni
Kulaana?? Hii ingemaanisha pande mbili zinazoambiana maneno ya laana.

Hakuna. Ila tu waliosema ni watu waliotumia akili zao. Ni faida katika dunia ya Wakristo wengi ya kwamba tunapeana uhuru wa kusema na kupinga.

Na wewe? Unajivunia ya kwamba huna cha kusema juu ya wajinga na wauaji Waislamu?
 



slide_4410_61910_large.jpg


Redjeson Hausteen Claude reacts to his mother Daphnee Plaisin, after his rescue.

If I had to vote, this would be the best picture so far. It doesn't show destruction and suffering as much, but hope and humanity. The look of that boy after seeing his mother is stunning, I don't even have to see his mother's face or hear what she was saying.

Thanks for this picture buddy, I needed this.
 
Hivi hawa maseismologist hawakuiona hii jamani utleast watu wangekuwa atention kidogo,very sad


Scientists warned Haiti officials of quake in '08

Scientists who detected worrisome signs of growing stresses in the fault that unleashed this week's devastating earthquake in Haiti said they warned officials there two years ago that their country was ripe for a major earthquake.

Their sobering findings, presented during a geological conference in March 2008 and at meetings two months later, showed that the fault was capable of causing a 7.2-magnitude earthquake — slightly stronger than Tuesday's 7.0 quake that rocked the impoverished country.

Though Haitian officials listened intently to the research, the nearly two years between the presentation and the devastating quake was not enough time for Haiti to have done much to have prevented the massive destruction.

"It's too short of a timeframe to really do something, particularly for a country like Haiti, but even in a developed country it's very difficult to start very big operations in two years," Eric Calais, a professor of geophysics at Purdue University, said Thursday.

Their conclusions also lacked a specific timeframe that could have prodded quick action to shore up the hospitals, schools and other buildings that collapsed and crumbled, said Paul Mann, a senior research scientist at the University of Texas' Institute for Geophysics.

At the time of earthquake, which the international Red Cross estimated killed 45,000 to 50,000 people, Haiti was still trying to recover from a string catastrophes. In 2008 alone, it was hit four times by tropical storms and hurricanes. The country also suffers from a string of social ills including poverty, unstable governments and poor building standards that make buildings vulnerable in earthquakes.

"Haiti's government has so many other problems that when you give sort of an unspecific prediction about an earthquake threat they just don't have the resources to deal with that sort of thing," Mann said.

In March 2008, Calais and Mann were among a group of scientists who presented findings on the major quake risk along the Enriquillo fault during the conference in the Dominican Republic, which shares the island of Hispaniola with Haiti. Their conclusions were based both on geologic work Mann conducted along the same fault and recent findings by Calais.

Calais had detected rising stresses along the fault using global positioning system measurements that showed that the Earth's crust in the area where the fault traverses southern Haiti was slowly deforming as pressure grew within the fault.

That pressure, paired with Mann's work and the fact that the last major quake in the area was in 1770, led to the prediction that the fault could produce a 7.2-magnitude temblor.

Calais said he also presented the findings to officials in Haiti during a series of meetings in May 2008 that included the country's prime minister and other high-ranking officials. He said he stressed to the officials that if they did nothing else they should at least begin reinforcing hospitals, schools and key government buildings to weather a strong quake.

"We were taken very seriously but unfortunately it didn't translate into action," he said. "The reality is that it was too short of a timeframe to really do something, particularly for a country like Haiti struggling with so many problems."

Calais said Haiti has no seismic stations for monitoring quake activity, while adjoining Dominican Republic has a small seismic network.
Although the specific risks of the fault zone near Haiti's capital, Port-au-Prince, may not have been known until recent years, the region has a long history of major earthquakes, said Carol Prentice, a U.S. Geological Survey research geologist based in Menlo Park, Calif.

Those include earthquakes that destroyed Jamaica's capital, Kingston, in 1692 and 1907, that also occurred along the Enriquillo fault, which extends hundreds of miles through the Dominican Republic, Haiti and Jamaica.

She said Calais' GPS studies were the first along the fault to quantify the potential quake risk in the heavily populated Port-au-Prince area.
Prentice said she, Calais and Mann had sought U.S. government funding over the years for detailed excavations in southern Haiti to document evidence of past quakes in soil layers along the fault but that work has not yet been funded.

"It's entirely possible that we'll see additional quakes along this fault in the years to come. But we really don't know the risk if those studies aren't done," she said.

http://news.yahoo.com/s/ap/20100115...lYwN5bl90b3Bfc3RvcmllcwRzbGsDc2NpZW50aXN0c3dh
 
By MIKE MELIA and ALFRED de MONTESQUIOU, Associated Press Writers Mike Melia And Alfred De Montesquiou, Associated Press Writers – 26 mins ago
PORT-AU-PRINCE, Haiti – Hundreds of U.S. troops touched down in earthquake-shattered Port-au-Prince overnight and were soon handing out food and water to stricken survivors, as relief groups struggled to deliver aid Friday and fears spread of unrest in Haiti's fourth day of desperation.

Pockets of looting flared across the capital. Small bands of young men and teenagers with machetes roaming downtown streets helped themselves to whatever they could find in wrecked homes.

"They are scavenging everything. What can you do?" said Michel Legros, 53, as he waited for help to search for seven relatives buried in his collapsed house. A Russian search-and-rescue team said the general insecurity was forcing them to suspend their efforts after nightfall.
"The situation in the city is very difficult and tense," said team chief Salavat Mingaliyev, according to Russia's Interfax news agency.

Hard-pressed government workers, meanwhile, buried thousands of bodies in mass graves. The Red Cross estimates 45,000 to 50,000 people were killed in Tuesday's cataclysmic earthquake. Up to 50 percent of the buildings in the capital and other hard-hit areas were damaged or destroyed, U.N. Secretary-General Ban Ki-moon said in New York.

More and more, the focus fell on the daunting challenge of getting aid to survivors. United Nations peacekeepers patrolling the capital said people's anger was rising that aid hasn't been distributed quickly, and warned aid convoys to add security to guard against looting.

Ordinary Haitians sensed the potential for an explosion of lawlessness. "We're worried that people will get a little uneasy," said attendant Jean Reynol, 37, explaining his gas station was ready to close immediately if violence breaks out.
 
INASIKITISHA JAMAN, INAMANISHA WATU WEUSI TUMELAANIWA? MAANA JAMAN KAMA MNAKUMBUKUMBU KUNA MJAMA MMOJA ALISHINDA NOBEL PRIZE AKASEMA WATU WEUS AKILI NDOGO. SII KWEL TATIZO KUBWA AFRICA TUNALO TUMEATHIRIWA KISAIKOLOJIA THAT IS Y TUNAONEKANA KITOKO, HAITI KWAKIWANGO KIKUBWA WAPO WATU WEUSI NA NINACHO AMIN HAYA NI MAJANGA KAMA MAJANGA MENGINE NA UWENDA YAPO MAJANGA MAKUBWA YATAIPATA MIJI MIKUBWA KAMA NEW YORK AND WASHNGTON DC SO SIJUW ATASEMAJE? Mungu awasaidie watu wa Haiti.


Yeah nakumbuka hiyo ya Nobel Prize. Unajua kwa upande fulani nadhani kuna baadhi ya wazungu bado wanadhani weusi siyo binadamu kamili, ndiyo same approach wanayotumia kwenye 'aliens'. Kama umeona movie ya steven spielberg ya E.T. - The Extra-Terrestrial, nadhani ilikuwa vilevile mzungu alipomuona mtu mweusi Afrika kwa mara ya kwanza, here goes a real dark skin creature, anaongea lugha nisiyoijua (hata hawakuwa wanazichukulia ni lugha), anaact funny.....I mean mpaka leo lugha zetu zinaonekana inferior kwa baadhi yao.

Naamini experience ya kwanza ilikuwa ignorance zaidi ya racism, years later that's a whole different story. Nadhani tukikutana na aliens itakuwa deja vu.
 
Huyu mzee anatumia dini tu kama kisingizio

alikuwa ni mshirika mkubwa saana wa Charles Taylor (akiunga mkono unyama waliofanyiwa wananchi wa liberia) na alikuwa na machimbo ya dhahabu huko Liberia.ana chuki saana na hii ngozi nyeusi na ikumbukwe hata Obama alipokuwa anapambana kukwaa urais alikuwa anampinga saana. na nimajuzi juzi tu alikuwa na kashfa alitoa unabii kwamba US ingeshambuliwa kwa nuclear na halikutokea na watu walimchallenge saana,

humu dunian i kuna vibabu vinazeeka vibaya kweli


Cha kukumbuka ni kwamba hawa watu wana wafuasi wengi. Wanasema kile ambacho wafuasi wao wanataka kusikia, na wanakisema behind closed doors...kuna alittle bit of brainwashing vilevile ili waendelee kupata michango na wasikilizaji, lakini support iliyopo ni ya pande zote mbili.
 
anaact funny.....I mean mpaka leo lugha zetu zinaonekana inferior kwa baadhi yao.
Hakika!! Angalau hadi wewe mwenyewe unaacha kutendea lugha vile...

Yaani unaamini kweli haiwezekani kusema kitu kwa Kiswahili bila kukoroga Kiingereza ndani yake??
Kinyume najua Waingereza wanaoweza kumaliza sentensi bila kutumia hata neno 1 la Kiswahili ndani yake!
 
Kuna kitu kuhusu watu weusi. Nimefikiria: Louisianna (New Orleans), Haiti, the endless tragedies in Africa etc. Mbona sehemu/ nchi za wazungu hakutokei mambo major kama haya?

This guy might have a point, maybe it just didn't come out right. And maybe it's the way he said, ' ...the made a pact with the Devil..' I think the reactions to his statement are merely borne out of fear of the unknown..especially with the mention of the Devil himself.

Maybe what he meant is that Haiti is too tied up in voodoo? I am just musing here, msiniattack
 
Kama ni kweli waliingia mkataba na shetani ili wapate uhuru. Laana zitawaandama tu. Unajua ukiwa na ibilisi maana yake umekuwa mtumwa na dhiki zote zitakufuata kwa sababu dhiki ni nature yake. Katika ulimwengu wa kiroho hivyo ndivyo ilivyo. Mimi naamini hiyo nchi imelaaniwa. Wana mambo mengi sana ya ushirkina wa kumtumia Bikira Maria na Ukatoliki. Voodoo!!!!!!!!!!!!!!!Mtamlaumu na kumwita huyo muhubiri majina ya kila aina. Neno halitanguki. Someni Kumbukumbu la Torati 28
 
Hakika!! Angalau hadi wewe mwenyewe unaacha kutendea lugha vile...

Yaani unaamini kweli haiwezekani kusema kitu kwa Kiswahili bila kukoroga Kiingereza ndani yake??
Kinyume najua Waingereza wanaoweza kumaliza sentensi bila kutumia hata neno 1 la Kiswahili ndani yake!

Utanisamehe kwa hilo, mara nyingi nakuwa mvivu wa kutafuta neno la kiswahili, lakini kama naeleweka sidhani kama ni tatizo. Nitajaribu kujirekebisha mkuu!
 
Utanisamehe kwa hilo, mara nyingi nakuwa mvivu wa kutafuta neno la kiswahili, lakini kama naeleweka sidhani kama ni tatizo. Nitajaribu kujirekebisha mkuu!
asante! Nafurahi ya kwamba unaweza kupokea utani jinsi ulivyo.
 
Kama ni kweli waliingia mkataba na shetani ili wapate uhuru. Laana zitawaandama tu. Unajua ukiwa na ibilisi maana yake umekuwa mtumwa na dhiki zote zitakufuata kwa sababu dhiki ni nature yake. Katika ulimwengu wa kiroho hivyo ndivyo ilivyo. Mimi naamini hiyo nchi imelaaniwa. Wana mambo mengi sana ya ushirkina wa kumtumia Bikira Maria na Ukatoliki. Voodoo!!!!!!!!!!!!!!!Mtamlaumu na kumwita huyo muhubiri majina ya kila aina. Neno halitanguki. Someni Kumbukumbu la Torati 28



Kuna kitu kuhusu watu weusi. Nimefikiria: Louisianna (New Orleans), Haiti, the endless tragedies in Africa etc. Mbona sehemu/ nchi za wazungu hakutokei mambo major kama haya?

This guy might have a point, maybe it just didn't come out right. And maybe it's the way he said, ' ...the made a pact with the Devil..' I think the reactions to his statement are merely borne out of fear of the unknown..especially with the mention of the Devil himself.

Maybe what he meant is that Haiti is too tied up in voodoo? I am just musing here, msiniattack


It might be true


Naelewa mnachotaka kusema lakini kuna uwezekano gani kwa watu mamilioni kukaa pamoja na kuamua kumtumikia shetani (na walifanya hivyo kiuwazi au kisiri)?. Leo hii mtu ukisema kuna secret societies zinazoiendesha dunia unaonekana mjinga. Kati ya hayo mawili lipi linawezekana zaidi?

Kuna uwezekano tu historia yao ndiyo inawaogopesha weupe, jinsi watumwa walivyojipatia uhuru na mambo kama hayo, ndiyo maana wanaendelea kuwagandamiza, naomba watanzania muwe makini kwa point hiyo, na sisi ni kama symbol ya uhuru, wenye kuangalia mambo kwa undani watanielewa.

Ni kweli zaidi ya 80% Haiti ni wakatoliki, lakini mbona sisi wakatoliki wetu hawafanyi mambo ya voodoo? Nikitubu hapa, nimeshakutana na wasichana wa kihaiti na kuchomoa kwa kuogopa haya mambo, inabidi nikubali na mimi woga huu nimekuwa nao!
 
Back
Top Bottom