Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,372
Tanzania haiwezi kushiriki kwenye U.P.U.U.Z.I huo, ila Mtanzania mmoja mmoja ana haki na ni uhuru wake kushiriki, isitoshe hiyo ni biashara ya multichoice. ni kama vile ushauri aliotoa David Cameron kwamba mashoga wapewe haki zao na wasinyanyaswe, kwa hiyo hata wewe Ivuga ukiupenda ushoga ni hiyari yako kuwa shoga lakini sio msimamo wa Tanzania. ninakuomba sana ujuwe kutofautisha kati ya National Agenda na Personal Agenda.wewe matola kwa nini unataka Tanzania isishiriki kwenye BB?