KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Redio clauds fm inatoa matangazo ya kuwahamasisha tz wanaopenda kushiriki shindando hilo, wakajiandikishe multchoice na sehemu nyingine kadha wa kadha. serikali kupitia wizara ya habari na utamaduni ilisisitiza kuwa haitambui shindano hilo na haitoi baraka kwa washiriki wanaokwenda huko kuiwakilisha tanzania. Mbona serikali inakaa kimya wakati zoezi la kuwaandikisha wa tz wanaopenda kushiriki shindano hilo limeshashika kasi?