...hivi ni kwanini Tanzania imepeleka wawakilishi wawili?, na wote wanatoka Media House moja, EATV
Mwaka huu big brother ipo kweli?
Ipo na itaanza September,Ilihairishwa kwasababu ya worldcup na Audition itaanza Leo pale New Africa hotel kuanzia Saa tatu kamil.Vigezo na Mashart kuzingatiwa.(Umri kuanzia miaka 21,Awe Mtanzania na Awe na passport Tayar,ajue kuongea vizur kizungu lol,awe anajihamin na mchangamfu).
eheee.. niliskia Dida wa Ezden alikuwa anajing'oa ung'eng'e ili ende mjengoni...
hizi auditions zitakua zimeua ndoto zake coz alijua ashachaguliwa.....lol
eheee.. niliskia Dida wa Ezden alikuwa anajing'oa ung'eng'e ili ende mjengoni...
hizi auditions zitakua zimeua ndoto zake coz alijua ashachaguliwa.....lol