Zimba
Senior Member
- Jul 30, 2011
- 113
- 14
Wapi hapo best yangu BUZOGWE au MAKANYAGIO?? Ki ukweli mazingira ya Sumbawanga ni magumu mno, hasa wilaya ya MPANDA, nashukuru mwenyezi mungu kwa pumzi hii vinginevyo bila yeye ningekuwa jehanamu!
Rudia somo la Jiografia. SUMBAWANGA na MPANDA ni wilaya ndani ya Mkoa wa RUKWA.Ye kasema Sumbawanga.Hizo mambo za Makanyagio,Buzogwe zimeanzaje?
Rudia somo la Jiografia. SUMBAWANGA na MPANDA ni wilaya ndani ya Mkoa wa RUKWA.Ye kasema Sumbawanga.Hizo mambo za Makanyagio,Buzogwe zimeanzaje?