DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Wake wawili wanao mgombania mwanaume mmoja wameanzisha vita ya uchawi ili mradi kukomoana tu.
Juzi mke mkubwa alimlaza mke mdogo juu ya mbuyu kimazingara kisa kamzuia mume kurudi kwa mke mkubwa kwa siku mbili mfululizo. Sasa jana ilikuwa kali,bi mkubwa akiwa bafuni akioga hana hli wala lile ni baada ya shughuli ya usiku mzima na mumewe,anashtuka amesimama njia panda mchana kweupee watu wakiwa wamemzingira kumshangaa kitendo cha mwanamke huyo kuoga njia panda.Bahati akina mama wachache walijitolea kumsitiri.Sasa leo wameamua kutwangana live baada ya kuona uchawi autoi suluhisho,sasa kibaya kilicho watokea ni talaka zilizotolewa na mume wao na kuwatimulia mbali,mie nimewaacha wakimlilia mume wao awasamehe sijui watasamehewa au ndo kimmoja.
Juzi mke mkubwa alimlaza mke mdogo juu ya mbuyu kimazingara kisa kamzuia mume kurudi kwa mke mkubwa kwa siku mbili mfululizo. Sasa jana ilikuwa kali,bi mkubwa akiwa bafuni akioga hana hli wala lile ni baada ya shughuli ya usiku mzima na mumewe,anashtuka amesimama njia panda mchana kweupee watu wakiwa wamemzingira kumshangaa kitendo cha mwanamke huyo kuoga njia panda.Bahati akina mama wachache walijitolea kumsitiri.Sasa leo wameamua kutwangana live baada ya kuona uchawi autoi suluhisho,sasa kibaya kilicho watokea ni talaka zilizotolewa na mume wao na kuwatimulia mbali,mie nimewaacha wakimlilia mume wao awasamehe sijui watasamehewa au ndo kimmoja.