gambada ynwa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 390
- 366
Sasa hapo umeanza kupata akili mkuu na huyo ndo joh niliekua namjua mimi. Enzi zile za rivercamp sojaz aseee sio huyu wa sasa huyu na ndo maana hujataja wimbo wake hata mmoja wa sasa ila umetaja za way back aseee.Once u r done with Muda... do urself a favor....go for NIAJE NI VIPI.. .and after that u wipe ur ass with HAWAPENDI... damn yaa... yeeahh and it'll be wiser to showlove to ur loved ones with CHOCHOTE POPOTE.
Hizi ni kati ya nyimbo ambazo huwa sizifuti kwa simu yangu.
Siku joh akirud level hizi utanisitua bob ila kwa sasa aniache kwanza tafadhari