joh makini anayeenda starlet aliyepanga geto moja changanyikeni ama kuna mwingne
Na yule mdogo wake Nikki wa pili anatumia passo,yaani huwa siamini ka hata mimi pamoja na kuungaunga kwangu nimenunua IST while am at 23 on my own na nimepanga a decent place at sinza(ofcoz mitaa anaposhindaga huyu nikki) while hata jirani yangu aliyepanga or anaeishi nyumba ya pili toka kwangu hanifahamu at all.
Guys huu umaarufu bongo una maana gani kama haukulipi? Yani pamoja na jina kuubwa,mashauzi na kujikuta classy hawa wasanii wanakua bado na maisha ya kuungaunga or ya chini kama haya?na wengi wako kwenye 30's wanakimbilia 40's.hii inatufundisha nini sisi na wadogo zetu ambao wanawaona hawa public figures kama role models wao?
Yani msanii mkubwa na anaeonekana financially strong kama joh makini kuendesha a classy n sport car-like,2 seat-BMW hadi akagongee kwa wakili msomi alberto msando?