UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Sasa hivi unaniambia ni mfuasi wa kisichokuwepo halafu baadaye utaniambia ni Agnostic.Sasa Kiranga anaingiaje hapa?...au ndiye aliyeyatawala mawazo yako?
Kama mtu una uwezo wa kuwa mfuasi wa usichokijua kama kipo, utashindwa kuwa mfuasi wa kilichopo?