We mleta thread umeanza udini wako! Huna lolote
Huo ndio upumbvu mlionao, mkiambiwa kweli mnajidai tunaleta udini, yaani nyinyi siku zote mnakuwa kama vile serikali ya marekani "mkisema nyinyi nisawa lakini wengine inakuwa noma" Huo uliolezwa ni ukweli mtupu lakini kwa vile alotajwa ni muislamu inkuwa hana uzito hata kama anastahiki kupewa haki yake.
Na ukweli ni kwamba Nyerere bila ya watu kama Bi Titi bint Mohammad asingeweza kufanya chochote. Hiyi Historia yenu mlipewa ya kughushi hayo ndio madhara yake mjomba JIFUNZE UELEWE ASILI YA TANGANYIKA.
Soma historia kaka ujifunze kuujua uhuru wa Tanganyika ulipatikana vp na ni akina nani walishiriki usiropoke na ujinga wako huo. Kama huko Tanganyika mnashindwa kuijua historia yenu vizuri basi njoo Zenji tukufunze mjomba.