..binafsi nadhani ni upotoshaji kudai harakati za Uhuru wa Tanganyika zilianzishwa na Waislamu.
..waasisi wa harakati zile hawakusukumwa na imani za madhehebu yao kudai Uhuru. kilichowasukumu kudai uhuru ni uzalendo wao kama WATANGANYIKA.
..harakati za kudai uhuru wa Tanganyika zilikuwa za ki-secular na KITAIFA ndiyo maana kila Mtanganyika bila kujali imani yake ya kidini alijiunga nazo.
..Wachagga na Wameru walishaanzisha harakati zao za self determination na walikuwa mbali zaidi ya Tanu. lakini kwasababu Tanu ilikuwa chama cha kitaifa Wachaga na Wameru walikuja kuungana na Tanu.
..kuna taarifa za kufanyika matambiko ya jadi wakati wa harakati za uhuru. matambiko hayo ni kinyume kabisa na mafundisho ya Kiislamu na Kikristo. kama harakati za kudai uhuru zilikuwa za kidini-dini kama wengi wanavyojaribu kulazimisha basi matambiko yale yasingefanyika.
..pia zipo taarifa za Mwalimu Nyerere kupewa msaada wa kifedha na mashirika ya Kidini kama Maryknoll wakati wa harakati za kudai uhuru. sasa sidhani kama Mwalimu angepata msaada toka kwa wamisheni kama majority ya washirika wake walikuwa na mtizamo wa Ki-Ayatollah.
..waasisi wa harakati zile hawakusukumwa na imani za madhehebu yao kudai Uhuru. kilichowasukumu kudai uhuru ni uzalendo wao kama WATANGANYIKA.
..harakati za kudai uhuru wa Tanganyika zilikuwa za ki-secular na KITAIFA ndiyo maana kila Mtanganyika bila kujali imani yake ya kidini alijiunga nazo.
..Wachagga na Wameru walishaanzisha harakati zao za self determination na walikuwa mbali zaidi ya Tanu. lakini kwasababu Tanu ilikuwa chama cha kitaifa Wachaga na Wameru walikuja kuungana na Tanu.
..kuna taarifa za kufanyika matambiko ya jadi wakati wa harakati za uhuru. matambiko hayo ni kinyume kabisa na mafundisho ya Kiislamu na Kikristo. kama harakati za kudai uhuru zilikuwa za kidini-dini kama wengi wanavyojaribu kulazimisha basi matambiko yale yasingefanyika.
..pia zipo taarifa za Mwalimu Nyerere kupewa msaada wa kifedha na mashirika ya Kidini kama Maryknoll wakati wa harakati za kudai uhuru. sasa sidhani kama Mwalimu angepata msaada toka kwa wamisheni kama majority ya washirika wake walikuwa na mtizamo wa Ki-Ayatollah.