Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
Bibi kizee mmoja alikwenda benki moja maarufu sana hapa nchini ili kuweka fedha zake. Alipofika mapokezi aliuliza.
"Naomba kumwona meneja mkuu wa benki hii"
Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,"Unataka kumuona kwa shida gani?"
"Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi
"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule bibi kizee
"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye usalama tu"
" Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema bibi huku akiwa amechukia.
Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja
"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"
Basi meneja akaamua amfungulie yeye akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,
"Bibi inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee"
"Hapana,nimezipata juzi juzi tu"
"Umezipataje?"
"Kwa kupinga na mtu"
"Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?"
"Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu"
"Ehe,tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi.
"Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani pembe nne. Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"
Meneja kusikia hivyo, akakubali mara moja na wakapinga.
Bibi kizee akaondoka. Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana , hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika pumbu zake kuona kama zimebadilika. Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida.Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa na wasiwasi.
Mara moja akatoka kwenda chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.
"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba.
Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.
"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?"
"Njoo tu uzishike" akasema meneja.
"Sawa lakini lazima uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.
Meneja akavua suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.Wakati akiendelea kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule
mtu aliyeongozana na bibi alikuwa anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi.
"Mbona huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"
"Heh he heee! huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea,
"Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne nitakuwa nazichezea pumbu za meneja wa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti siwezi. Tulipinga
shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda kuzitoa baba!"
Meneja akachukua milioni kumi na bibi akapata milioni ishirini!
ha ha haaa ahaaaa
"Naomba kumwona meneja mkuu wa benki hii"
Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,"Unataka kumuona kwa shida gani?"
"Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi
"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule bibi kizee
"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye usalama tu"
" Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema bibi huku akiwa amechukia.
Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja
"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"
Basi meneja akaamua amfungulie yeye akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,
"Bibi inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee"
"Hapana,nimezipata juzi juzi tu"
"Umezipataje?"
"Kwa kupinga na mtu"
"Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?"
"Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu"
"Ehe,tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi.
"Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani pembe nne. Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"
Meneja kusikia hivyo, akakubali mara moja na wakapinga.
Bibi kizee akaondoka. Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana , hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika pumbu zake kuona kama zimebadilika. Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida.Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa na wasiwasi.
Mara moja akatoka kwenda chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.
"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba.
Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.
"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?"
"Njoo tu uzishike" akasema meneja.
"Sawa lakini lazima uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.
Meneja akavua suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.Wakati akiendelea kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule
mtu aliyeongozana na bibi alikuwa anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi.
"Mbona huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"
"Heh he heee! huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea,
"Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne nitakuwa nazichezea pumbu za meneja wa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti siwezi. Tulipinga
shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda kuzitoa baba!"
Meneja akachukua milioni kumi na bibi akapata milioni ishirini!
ha ha haaa ahaaaa