msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
[h=6]Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la mbagala kama kawaida yao,
bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi
unalia nini sasa?" Bibi akajibu "miaka yote 25 nliyoishi Mbagala sijawahi pata siti"
...
konda akanena "bibi pisha siti hapo umekaa ya dereva."[/h]
bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi
unalia nini sasa?" Bibi akajibu "miaka yote 25 nliyoishi Mbagala sijawahi pata siti"
...
konda akanena "bibi pisha siti hapo umekaa ya dereva."[/h]