King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,602
- 68,508
Wanakugombania wewe!
Sipendi kujiingiza kwenye malumbano ila concern yangu ni hiyo kauli yako. Ukiona mtu ananyanyua mkono kumpiga mwenzi wake, do not quickly judge the action. You just never know..
Kwahiyo kama kawaida yenu waafrika a.k.a Monkeys mnataka kuiga hao wa nchi nyingine(Ulaya,America etc)? Sasa kwa matendo haya ya kuiga kila wengine wanachofanya ndiyo mnazidi kudhihirisha kuwa nyie(Sisi) ni Manyani kamili maana nyani huiga kila kitu anachokiona!
Hebu acheni ujinga kila jamii iishi kwa ustaarabu wake bana! Yaani mwanamke anifanyie ujinga nisi-react? Halafu hapo unaweza kuta ni mwanamke ndiyo anampiga mwanaume.
Hapo tatizo inaonekana liko kwa mwanamke, kwanza mavazi aliyovaa ni rahisi mno kutongozwa na jemba nyingine kwani kaanika mapaja na ******, sasa braza atakuwa ameona wanaume wako wanampapasia kwenye makalio ya mke wake na mke katulia braza akaona wapi uwezo wake ni kumpiga mke wake na siyo wapapsaji. Shame on you all mnaowaachia wake zetu kutoka uchi uchi mitaani mkidanganywa zaidi na shetani kuwa "baby umependeza" yaani wewe braza unakuwa zumbukuku kwa kuruhusu mkeo aanike hifadhi yako. Acheni maisha ya kuiga kwenye Tv
Mkuu hapo mbona kama ni maliwatoni? nafikiri ungesema Mlimani city ingekuwa sahihi zaidi.
What did u think might be the cause of the fight?
What did u think might be the cause of the fight?