Biashara ya website design, web development, seo marketing, e-commerce solution

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Wakuu habari yenu mimi nina swali moja:

Kuna jamaa zangu wawili ma brothers wana mpango wa kuanzisha biashara ya website design, web development, SEO Marketing, E-commerce Solution kwa Africa kwa nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, South Africa

Wanataka waiite hiyo kampuni yao kwa jina la
Cool studios Web Tech.

Jamaa ana mtaji wa $ 5,000. Hiyo ni kwa ajili ya kununua simple office furnitures, na equipments mbali mbali office mzee wao kawapa so hiyo haina shida.

Wamefanya utafiti wakagundua kuwa wana washindani wakubwa tu so wao wamejipanga kwa ajili ya kuja na fresh designs kwa kuwa ndio wanataka kuanza sasa walikuwa wanaomba ushauri kwa great thinkers kwa vitu vifuatavyo:

- Jinsi ya ku-penetrate soko
- Vikwazo watakavyokumbana navyo
- Watumie style ipi ya marketing?
- Watumie style ipi ya sales?
- Watumie style ipi ya promotion?

Wamepanga kufanya hivi kwa small business firms ili wawasaidie kukuza biashara zao + large business firms ili waendeleze kukuza biashara zao je hili ni sawa??

So walikuwa wanaomba ushauri kuhusu hayo yaliyotajwa juu na general ideas kuhusu hiyo biashara wanayotaka kuanzisha
 
Assuming it's you:

Did you mean $5,000 au $5,000,000?

OK, unajua athari za biashara za 'kidugu'?

Kuanzia hapo tutaanza kuyaongea haya kwa mapana; I've been in this industry for 8yrs now...
 
Flash is a dying technology, kuna vitu kama jquery, java script, HTML5 etc, vinauwezo mkubwa sana kuliko output ya flash. Wajipange vizuri kwa hili.
Kwanza wawe creative kweli kweli na si kuedit templates kama wanavyofanya wengi.
Pili watengeneze network ya nguvu, bongo kujuana kwingi.
Wawe na ofisi inayorepresent biashara yao. From furnitures, rangi za ukutani, wanavyovaa nk.
Tatu muda wa kazi wazingatie sana, hapa namaanisha ni siku ngapi itawachukua kutengeneza website moja... Wanatarget websites ngapi kwa mwezi? Je wataziweza?
Nne wawe na reasonable prices, washicharge kwa dola kama wanavyofanya wengi... Hili wateja hawalipendi.

Haya matatizo na challenges sasa.
Moja, wateja wengi hawajui umuhimu wa websites, wawe tayari kuelimisha watu.
Pili, rushwa itawabeza sana... Watakuja wawakilishi wa makampuni mbali mbali wanataka kutengenezewa websites, wanatoa bei kubwa lakini wanataka pasu... Kwa mfano ofisi itaandika invoice ya milioni nane, na wafanyaji kazi mnaweza kuambulia milioni na nusu... Hizo sita na nusu ganji ya watu... (Hili ndio tatizo kubwa kuliko yote kwa mtazamo wangu).
Tatu, wateja wengi hawana content na wala hawajui content ndio nini... Picha pia ni mgogoro... Utapewa makaratasi ya kuscan na kutype kama stationary...
Nne...wateja watahost website mwaka wa kwanza, wa pili wanayeyuka (kwasababu hawajui au hawajapata mafanikio online)...
Matatizo yapo mengi sana mkuu... NiPM tutayaongea...
Ooh by the way... Tatizo jingine kubwa mno... Kazi nyingi za wabongo hazitoisha... Utalipa milioni 2 kwa website utakayotengeneza mwaka mzima, kila mteja akiona website ya competitor wake atataka aje kwako kubadilisha ifanane na aliyoona...kifupi wateja wengi wasumbufu sana... Set deadlines kimaandishi...

Kuhusu how to break in, sales techniques nk... Hiyo ni homework yenu mkuu.
 
Flash is a dying technology, kuna vitu kama jquery, java script, HTML5 etc, vinauwezo mkubwa sana kuliko output ya flash. Wajipange vizuri kwa hili.
Kwanza wawe creative kweli kweli na si kuedit templates kama wanavyofanya wengi.
Pili watengeneze network ya nguvu, bongo kujuana kwingi.
Wawe na ofisi inayorepresent biashara yao. From furnitures, rangi za ukutani, wanavyovaa nk.
Tatu muda wa kazi wazingatie sana, hapa namaanisha ni siku ngapi itawachukua kutengeneza website moja... Wanatarget websites ngapi kwa mwezi? Je wataziweza?
Nne wawe na reasonable prices, washicharge kwa dola kama wanavyofanya wengi... Hili wateja hawalipendi.

Haya matatizo na challenges sasa.
Moja, wateja wengi hawajui umuhimu wa websites, wawe tayari kuelimisha watu.
Pili, rushwa itawabeza sana... Watakuja wawakilishi wa makampuni mbali mbali wanataka kutengenezewa websites, wanatoa bei kubwa lakini wanataka pasu... Kwa mfano ofisi itaandika invoice ya milioni nane, na wafanyaji kazi mnaweza kuambulia milioni na nusu... Hizo sita na nusu ganji ya watu... (Hili ndio tatizo kubwa kuliko yote kwa mtazamo wangu).
Tatu, wateja wengi hawana content na wala hawajui content ndio nini... Picha pia ni mgogoro... Utapewa makaratasi ya kuscan na kutype kama stationary...
Nne...wateja watahost website mwaka wa kwanza, wa pili wanayeyuka (kwasababu hawajui au hawajapata mafanikio online)...
Matatizo yapo mengi sana mkuu... NiPM tutayaongea...
Ooh by the way... Tatizo jingine kubwa mno... Kazi nyingi za wabongo hazitoisha... Utalipa milioni 2 kwa website utakayotengeneza mwaka mzima, kila mteja akiona website ya competitor wake atataka aje kwako kubadilisha ifanane na aliyoona...kifupi wateja wengi wasumbufu sana... Set deadlines kimaandishi...

Kuhusu how to break in, sales techniques nk... Hiyo ni homework yenu mkuu.

okay hii nimeipenda
je jamaa wanauliza haya makampuni duniani ambayo yameifanya hii business na yakawa wanamafanikio wametumia style gani??
 
Dolytine ameeleza vizuri. Tatizo kubwa ni kwamba mwamko wa website bado uko chini. Hata organization zenye website bado hawa zi value. They just do it kama fasion but not business driver. Ndo maana website nyingi za bongo hazina content zinazojitosheleza na mara nyingi haziwi updated. To me content development ndo kazi kubwa lakini most of people are not willing to pay for.
pili kukosekana kwa local payment gateway kwa ajili ya online payment pia ni kikwazo. One need to start proccesing online payment thru mpesa, tigo pesa etc.

Waanze tu wasiogope, lakini wasiote mafanikio ya haraka haraka.
 
okay hii nimeipenda
je jamaa wanauliza haya makampuni duniani ambayo yameifanya hii business na yakawa wanamafanikio wametumia style gani??

Unapouliza kwa kutumia phrase jamaa, unamaana gani? Just be honest and say that its u asking, au u r involved. Sioni ugumu wa kuresearch kwa prospective business mwenyewe, kwasababu ninaamini kabisa, majibu utakayowapa wao hayatakuwa na sura kama watakayoipata wao wakiuliza direct... Hivi mtu aliye serious na biashara yake, kweli atamuagiza mtu aje JF na kumuulizia maswali. Au we ni consultant?

Well, back to your qstn. Makampuni successful duniani yanayofanya biashara hii yamefanikiwaje... Hili ni swali zuri sana... Na majibu yake yanaweza yasiishe...
Kwanza tukianza na ufundishwaji wa web design na development wa nchi zilizoendelea ni tofauti kabisa na wa hapa kwetu... Wanafunzi wanajifunza html kwa peni na karatasi, kule watu wanacode live na kudebug live...then passion ya coders na designers wa nchi za wenzetu ni tofauti. Sisi tunafanya to make a living, wao wanafanya kuwa the best coders and developers... Trust me, wazungu wanapojifunza money is their last concern... Sisi tutawaza ntapataje hela...(Hii inakuondolea focus) ndio maana tunaishia kuedit templates, na code za watu...
Sababu nyingine ni upeo wa watumiaji mtandao na ari yao kutimiza customer satisfaction inawafanya developers kufikiri zaidi ili wadeliver...mf wazungu wanapenda kutumia search engines kupata wanachotaka online...sisi tunapenda kuuliza (kama ulivyofanya wewe) maswali ya jamaa zako yote yangekuwa answered by very few google clicks... Ila hata kuja jamii forums wameona uvivu wakakutuma wewe, sasa hawa ndio wataleta revolution kweli kwenye mtandao, na tovuti???
Sababu nyingine ni hosting, bandwidth na network speed yetu... Isp wako slow sana kama sio wamelala kabisa...website kama ebay inahitaji proper internet connection kuimaintain, sasa hapa kwetu updates zitafanyikaje faster kama bado internet population inatumia mobile dongles na 2mbps???
Ooh, kabla sijasahau, watumiaji wa mtandao tanzania hawazidi 1m, sasa kampuni zitawezaje kuinvest hela nyingi kwenye websites zao wakati target ni ndogo kiasi hiki? Ndio maana radio na tv ads ni very popular kwetu...
Ikiwa bloggers wa tz pamoja na hits na umaarufu wote bado wanatumia blogspot hawana weblogs zao zenye ubora unategemea maendeleo yaje vipi?
Nchi ina mouth critics na sio action critics... Ulaya mtu anakaa chini anaandika makala anacriticise kitu na mifano hai sisi tunacopy na kupaste....
Mkuu mambo mengi sana ya kuzungumza, vidole vimechoka kutype. Nisije kuua kasimu kangu bure... Next time.
 
Unapouliza kwa kutumia phrase jamaa, unamaana gani? Just be honest and say that its u asking, au u r involved. Sioni ugumu wa kuresearch kwa prospective business mwenyewe, kwasababu ninaamini kabisa, majibu utakayowapa wao hayatakuwa na sura kama watakayoipata wao wakiuliza direct... Hivi mtu aliye serious na biashara yake, kweli atamuagiza mtu aje JF na kumuulizia maswali. Au we ni consultant?

Well, back to your qstn. Makampuni successful duniani yanayofanya biashara hii yamefanikiwaje... Hili ni swali zuri sana... Na majibu yake yanaweza yasiishe...
Kwanza tukianza na ufundishwaji wa web design na development wa nchi zilizoendelea ni tofauti kabisa na wa hapa kwetu... Wanafunzi wanajifunza html kwa peni na karatasi, kule watu wanacode live na kudebug live...then passion ya coders na designers wa nchi za wenzetu ni tofauti. Sisi tunafanya to make a living, wao wanafanya kuwa the best coders and developers... Trust me, wazungu wanapojifunza money is their last concern... Sisi tutawaza ntapataje hela...(Hii inakuondolea focus) ndio maana tunaishia kuedit templates, na code za watu...
Sababu nyingine ni upeo wa watumiaji mtandao na ari yao kutimiza customer satisfaction inawafanya developers kufikiri zaidi ili wadeliver...mf wazungu wanapenda kutumia search engines kupata wanachotaka online...sisi tunapenda kuuliza (kama ulivyofanya wewe) maswali ya jamaa zako yote yangekuwa answered by very few google clicks... Ila hata kuja jamii forums wameona uvivu wakakutuma wewe, sasa hawa ndio wataleta revolution kweli kwenye mtandao, na tovuti???
Sababu nyingine ni hosting, bandwidth na network speed yetu... Isp wako slow sana kama sio wamelala kabisa...website kama ebay inahitaji proper internet connection kuimaintain, sasa hapa kwetu updates zitafanyikaje faster kama bado internet population inatumia mobile dongles na 2mbps???
Ooh, kabla sijasahau, watumiaji wa mtandao tanzania hawazidi 1m, sasa kampuni zitawezaje kuinvest hela nyingi kwenye websites zao wakati target ni ndogo kiasi hiki? Ndio maana radio na tv ads ni very popular kwetu...
Ikiwa bloggers wa tz pamoja na hits na umaarufu wote bado wanatumia blogspot hawana weblogs zao zenye ubora unategemea maendeleo yaje vipi?
Nchi ina mouth critics na sio action critics... Ulaya mtu anakaa chini anaandika makala anacriticise kitu na mifano hai sisi tunacopy na kupaste....
Mkuu mambo mengi sana ya kuzungumza, vidole vimechoka kutype. Nisije kuua kasimu kangu bure... Next time.

bora umeongea mkuu bora ufanye FYI basi..
 
.... Sisi tutawaza ntapataje hela...(Hii inakuondolea focus) ndio maana tunaishia kuedit templates, na code za watu... ... Next time.
Mkuu hata JF imetumia forum platform ambayo code zake tayari zilikua zimeandikwa....cha msingi hapa mi nafikiri ni kua creative na kufikisha ujumbe wa kile hasa kilichotegenewa kupatikana baada ya coding....tatizo letu sisi ni wavivu sana kufikiria hata hivi vya kuedit code tunarashia rashia tu...hatuko serious!!!!!!!!! Honestly natumia hizi CMS na zinasaidia sana......! cha msingi kama nilivosema lazima ujue unachokifanya na unategemea kupata nini.
 
Mkuu hata JF imetumia forum platform ambayo code zake tayari zilikua zimeandikwa....cha msingi hapa mi nafikiri ni kua creative na kufikisha ujumbe wa kile hasa kilichotegenewa kupatikana baada ya coding....tatizo letu sisi ni wavivu sana kufikiria hata hivi vya kuedit code tunarashia rashia tu...hatuko serious!!!!!!!!! Honestly natumia hizi CMS na zinasaidia sana......! cha msingi kama nilivosema lazima ujue unachokifanya na unategemea kupata nini.

Mkuu kumbuka JF sio kampuni ya web designing and development... Kutumia code za forums sio tatizo... Mi wakati nasoma tulikuwa tunacode kila kitu, na ukitumia za watu unapigwa plagiarism na unaweza kufukuzwa shule...

CMS kama joomla, drupal etc zinasaidia sana, ila let's be creative zaidi kuweza kufikia hata level ya kenya jamani.
 
Mkuu kumbuka JF sio kampuni ya web designing and development... Kutumia code za forums sio tatizo... Mi wakati nasoma tulikuwa tunacode kila kitu, na ukitumia za watu unapigwa plagiarism na unaweza kufukuzwa shule...

CMS kama joomla, drupal etc zinasaidia sana, ila let's be creative zaidi kuweza kufikia hata level ya kenya jamani.

Hapo mkuu nimekusoma! Hebu tell me more hiyo level ya kenya,mi naamini wapo watu wazuri sana katika hizi kazi web coding ila si wengi wengi wao ndio wanafanya ku copy,natamani uniambie hiyo level ya kenya iko vipi! Napenda challenge na kujifunza kila siku hasa kwa kukosolewa
 
Hapo mkuu nimekusoma! Hebu tell me more hiyo level ya kenya,mi naamini wapo watu wazuri sana katika hizi kazi web coding ila si wengi wengi wao ndio wanafanya ku copy,natamani uniambie hiyo level ya kenya iko vipi! Napenda challenge na kujifunza kila siku hasa kwa kukosolewa

Simple way ya kuangalia kazi za watu, cheki footer za website, utaona kuna design by au kampuni iliyohusika na kazi nzima, sasa hapo utaweza kuona website ya hiyo kampuni kwa kuclik kiunganishi hicho, then utaona kazi zao mbali mbali kwenye portfolio... Hebu angalia website ya pensio fund ya kenya, magazeti yao... Tv's, na organisation mbali mbali, then fata footers utaona kazi zaidi..
Kifupi wako mbali sana...kitendo cha google kuweka base kenya, ibm, microsoft nk, inaonyesha wako serious na kazi wanazijua.
 
Simple way ya kuangalia kazi za watu, cheki footer za website, utaona kuna design by au kampuni iliyohusika na kazi nzima, sasa hapo utaweza kuona website ya hiyo kampuni kwa kuclik kiunganishi hicho, then utaona kazi zao mbali mbali kwenye portfolio... Hebu angalia website ya pensio fund ya kenya, magazeti yao... Tv's, na organisation mbali mbali, then fata footers utaona kazi zaidi..
Kifupi wako mbali sana...kitendo cha google kuweka base kenya, ibm, microsoft nk, inaonyesha wako serious na kazi wanazijua.

So ni wapi tunakosea mkuu? Hapo nimekusoma poa kabisa,na hata ukiangalia makampuni mengi yame dominate soko ni wakenya na wahindi na sisi tunakua watu wa kubeba mabox ya comp mpya,kutumwa vitu vidogo vidogo! Hii inaniboa sana ! Najisikia ovyoooo! Kingine hatuna bodi inayohusika hasa na IT hii wizara sioni inachofanya inahangaika tu,na IT sasa hv inadharauliwa sana nyie mnaoanzisha hii kampuni you have to be creative and smart sio kubabaisha!
 
So ni wapi tunakosea mkuu? Hapo nimekusoma poa kabisa,na hata ukiangalia makampuni mengi yame dominate soko ni wakenya na wahindi na sisi tunakua watu wa kubeba mabox ya comp mpya,kutumwa vitu vidogo vidogo! Hii inaniboa sana ! Najisikia ovyoooo! Kingine hatuna bodi inayohusika hasa na IT hii wizara sioni inachofanya inahangaika tu,na IT sasa hv inadharauliwa sana nyie mnaoanzisha hii kampuni you have to be creative and smart sio kubabaisha!

Pale Costech ipo kitu ground floor inaitwa TanzIT, na kuna Dar Technohama Business Incubator... Zinasimamia na kuongoza IT firms, hasa start ups...
Tofauti yetu na wakenya kwenye IT ni aggresiveness... Kenyans are go getters,, sisi no go eaters..... Hahahah, jamaa wameshika systems za security za banks hapa TZ mpaka aibu... Ila nadhani kuna kajitatizo ka ubaguzi kwa watz wenyewe kwa wenyewe, sio kila kampuni ya kikenya ni nzuri na sio kila kampuni ya ktz ni mbovu...
Kitu kingine ni mfumo mzima wa kazi, tunafagilia sana tender... Hapa ndio rushwa huwa inanuka na kutapakaa... Kila kitu tender, mpaka kurun na kuinstall anti virus tunaweka tender na watu wanapiga hela ndefu sana kwenye makampuni, sasa sijui hizi IT dept zetu zinafanya nini kama mpaka kuinstall sortware tunataka mzabuni...
 
Doltyne amekueleza vizuri sana, swala la fedha lisiwe kipaumbele chenu hata kidogo

kama ni wageni ktk industry ni vizuri sana kuanza kuvolunteer makampuni yenye reputation eg bank crdb,nmb, nbc, universities udsm,mzumbe ministries etc, mnaweza kuomba permission to design or redesign web zao then mkaanda proposal--->get user req---->analysis ----> logical/physical design---->implementation with proper and well documented methodology na si kukurupuka siku ya kwanza umeanza coding hehehe..! mkuu hatuendi hivyo na hii ndio sababu kwanini wakenya wanaonekana wapo juu.

baada ya hayo mnaweza kuitumia hiyo system kama work experience yenu kuomba kazi sehemu nyingine [i did this and that.. ndio tunavyokwenda]. Opportunities zipo nyingi sana zinawasubiri wewe andaa proposal with clear benefits to the org/company then ipeleke mahala husika, wakiona inawafaa hata kama hawajawahi kuwa na mawazo ya kuwa na website watakupa kazi kijana
 
Ningependekeza zaidi mtengeneze web applications na sio tu websites. Kuna mambo mengi ambayo yanaweza kurahisishwa na IT zaidi ya tovuti kuwa ukurasa wa maelezo.
Angalieni banking systems ambazo zinafanyika online. Nadhani kuna mambo mengi tu yange rahisishwa kwa kutumia web applications.

Mfano, Kenya wanatarajia kutoa fursa kwa waliopo nje ya nchi kufanya uchaguzi ujao (japo inasemekana uchaguzi wa raisi tu), hapo basi, zaidi ya kuwa lazimisha kwenda ubalozini kutoa kura zao, an online application (secure) inaweza kuwapa fursa watu wengi ku' participate kwenye uchaguzi huo... Hapo basi, idea tayari kwa makampuni ya web developers, noeni makucha yenu!!!

Angalia hii video "HR On-Boarding Portal for SAP" kwenye hii site, pia inaonyesha solutions nyingine inayoweza kutengenezwa.

Contributor mwingine hapo juu ameshaongelea "cha juu" kwenye tenders za bongo. Anayeifanya kazi anaambulia a very small percentage of the tender value sasa sio tena 10% but 75%, inahitaji moyo kufanya kazi kwenye mazingira haya.
Ushauri wangu, fanyeni kubuni solution ambayo nyingi kama nyinyi mtai anzisha, kutengeneza, na kuiimarisha kwa umma. Wale!, wakiona kweli ndio watawafuata na mahesabu yaliyoenda shule!!!!
 

- Jinsi ya ku-penetrate soko
- Vikwazo watakavyokumbana navyo
- Watumie style ipi ya marketing?
- Watumie style ipi ya sales?
- Watumie style ipi ya promotion?

You're doing it all wrong my friend, that's already a losing battle.You're putting the cart before the horse.You need to start with finding hungry customers then after you've got 'em, sell the hell out of them. You milk 'em until blood comes out of their nipples, like there is no tomorrow.

No hard feelings here, my friend, just business.

You have to know who they are and then create a product or service that scratches their itch.

If I was you, I'd set a time one weekend to devour the phone book all night long, looking for all businesses that look like those which don't know a yark about online business. Then I'll call 'em explaining to 'em that I know a way to get them more customers to their business.

I'll make sure I show 'em how much their business will increase, that way, when their mouths start to salivate with $$ signs like a little puppy, I hit 'em with my service.

I'll tell 'em that I'll make a website for 'em for XXX amount of dollars plus the hosting service for XX per months. Not only that I'll also charge for SEO on monthly bases. By now if you're smart enough you'll notice that I love subscriptions... and YES I DO... because that's where the real money is made my friend. All you need to do is to lock a guy once and money comes in until he kicks the bucket.

Now here is the kicker, which some of us do with no mercy, we use incentives... you make your customer affiliate whereby you give him a commission every time they find you more customers for your service.

So let say you find Invisible (lol) as your first customer, you tell him "you know Invisible, you can make 70% off of any business I make through prospects you refer me. So if you find me 100 new prospects who turn into customers you'll make money for everyone of them, every month. All you have to do is finding me prospects, simple as that and money rolls in".

Now you know what will happen?

He will start to see $$$.So he will work like a clock work to find you more customers. Now it may seem like you're giving him more money (70%) but check this out, if it wasn't for him you wouldn't have found those customers. So it's win win.

You can make your system in such a way to have so many people down the line that print out money for you on demand like the 'ol well oil machine.

That's it kiddo.
 
Dolytine ameeleza vizuri. Tatizo kubwa ni kwamba mwamko wa website bado uko chini. Hata organization zenye website bado hawa zi value. They just do it kama fasion but not business driver. Ndo maana website nyingi za bongo hazina content zinazojitosheleza na mara nyingi haziwi updated. To me content development ndo kazi kubwa lakini most of people are not willing to pay for.
pili kukosekana kwa local payment gateway kwa ajili ya online payment pia ni kikwazo. One need to start proccesing online payment thru mpesa, tigo pesa etc.

Waanze tu wasiogope, lakini wasiote mafanikio ya haraka haraka.

mkuu, hebu fafanua kidogo hapo kwenye "local payment gateway", sijakupata vizuri!
 
Unapouliza kwa kutumia phrase jamaa, unamaana gani? Just be honest and say that its u asking, au u r involved. Sioni ugumu wa kuresearch kwa prospective business mwenyewe, kwasababu ninaamini kabisa, majibu utakayowapa wao hayatakuwa na sura kama watakayoipata wao wakiuliza direct... Hivi mtu aliye serious na biashara yake, kweli atamuagiza mtu aje JF na kumuulizia maswali. Au we ni consultant?

Well, back to your qstn. Makampuni successful duniani yanayofanya biashara hii yamefanikiwaje... Hili ni swali zuri sana... Na majibu yake yanaweza yasiishe...
Kwanza tukianza na ufundishwaji wa web design na development wa nchi zilizoendelea ni tofauti kabisa na wa hapa kwetu... Wanafunzi wanajifunza html kwa peni na karatasi, kule watu wanacode live na kudebug live...then passion ya coders na designers wa nchi za wenzetu ni tofauti. Sisi tunafanya to make a living, wao wanafanya kuwa the best coders and developers... Trust me, wazungu wanapojifunza money is their last concern... Sisi tutawaza ntapataje hela...(Hii inakuondolea focus) ndio maana tunaishia kuedit templates, na code za watu...
Sababu nyingine ni upeo wa watumiaji mtandao na ari yao kutimiza customer satisfaction inawafanya developers kufikiri zaidi ili wadeliver...mf wazungu wanapenda kutumia search engines kupata wanachotaka online...sisi tunapenda kuuliza (kama ulivyofanya wewe) maswali ya jamaa zako yote yangekuwa answered by very few google clicks... Ila hata kuja jamii forums wameona uvivu wakakutuma wewe, sasa hawa ndio wataleta revolution kweli kwenye mtandao, na tovuti???
Sababu nyingine ni hosting, bandwidth na network speed yetu... Isp wako slow sana kama sio wamelala kabisa...website kama ebay inahitaji proper internet connection kuimaintain, sasa hapa kwetu updates zitafanyikaje faster kama bado internet population inatumia mobile dongles na 2mbps???
Ooh, kabla sijasahau, watumiaji wa mtandao tanzania hawazidi 1m, sasa kampuni zitawezaje kuinvest hela nyingi kwenye websites zao wakati target ni ndogo kiasi hiki? Ndio maana radio na tv ads ni very popular kwetu...
Ikiwa bloggers wa tz pamoja na hits na umaarufu wote bado wanatumia blogspot hawana weblogs zao zenye ubora unategemea maendeleo yaje vipi?
Nchi ina mouth critics na sio action critics... Ulaya mtu anakaa chini anaandika makala anacriticise kitu na mifano hai sisi tunacopy na kupaste....
Mkuu mambo mengi sana ya kuzungumza, vidole vimechoka kutype. Nisije kuua kasimu kangu bure... Next time.

i salute you
 
Wakuu habari yenu mimi nina swali moja:

Kuna jamaa zangu wawili ma brothers wana mpango wa kuanzisha biashara ya website design, web development, SEO Marketing, E-commerce Solution kwa Africa kwa nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, South Africa

Wanataka waiite hiyo kampuni yao kwa jina la
Cool studios Web Tech.

Jamaa ana mtaji wa $ 5,000. Hiyo ni kwa ajili ya kununua simple office furnitures, na equipments mbali mbali office mzee wao kawapa so hiyo haina shida.

Wamefanya utafiti wakagundua kuwa wana washindani wakubwa tu so wao wamejipanga kwa ajili ya kuja na fresh designs kwa kuwa ndio wanataka kuanza sasa walikuwa wanaomba ushauri kwa great thinkers kwa vitu vifuatavyo:

- Jinsi ya ku-penetrate soko
- Vikwazo watakavyokumbana navyo
- Watumie style ipi ya marketing?
- Watumie style ipi ya sales?
- Watumie style ipi ya promotion?

Wamepanga kufanya hivi kwa small business firms ili wawasaidie kukuza biashara zao + large business firms ili waendeleze kukuza biashara zao je hili ni sawa??

So walikuwa wanaomba ushauri kuhusu hayo yaliyotajwa juu na general ideas kuhusu hiyo biashara wanayotaka kuanzisha

mimi ni graduate wa mambo ya computer.Niliandika wazo la biashara yenye mwelekeo kama wa ho jamaa zako ingawa mi nlilenga zaid wateja wa ndan ya tz tu.Niconect na jamaa hao tupeane mawazo zaid.Nakusubiria bos
 
Back
Top Bottom