Nasikia vitunguu vina soko la kufa mtu Nairobi - is this you want to share with us Cheusi? kuna jamaa yangu alishanipa order nikusanye nipeleke lakini sijapata muda wa kufanya hivyo.
Lakini si aina zote za vitunguu lazima kufanya utafiti kwanza kabla ya kuchangamkia tenda.
Inaoneka wafanya biashara wazuri wengi hawapati information wanazohitaji kufanya uamuzi. Kwa sababu hii, naomba mchango wa mawazo tutafute ufumbuzi. Kupata habari kuhusu soko, ni muhimu ili mjasirimali awe na kanguvu wakati kupatana bei. Na wakina mama wenye kulima kashamba kavitunguu, wanaweza kuuza bei nzuri kwa bidhaa zao, badala ya kuranguza kwa bei ya chini sana baada kuvuja jasho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.