LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Safi safi kamanda na zoezi hilo liendelee na hatutaki kusikia kinyoa hata mmoja amekufa
nina kamtetea changu cha majaribio hapa,nimejaribu kutumia mbinu ya kukawekea mazingira ya kutotoka toka wakati wa kulalia mayai kwa kuhakikisha chakula na maji kinakuwa karibu anapo lalia, kupulizia dawa ya viroboto ktk kiota cha mayai pia sikuruhusu usumaufu wa aina yoyote.Lengo langu ni kuprove utotoaji utakuaje ?kuna wadau wamewahi elezea ukifanya hivyo kuku uweza kutotoa vizuri.
Baada ya kufanya hivyo matokeo yake ni mazuri kwakweli,ktk mayai kumi niliyo mwekea ametotoa mayai yooote tofauti na kawaida ambapo alikuwa anaweweza akatotoa mayai sita katika kumi au nane katika kumi na mbili/kumi na tatu.