malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 215
- 77
Ahsante bwana kubota kwa maelezo mazuri kamwe usichoke kutembelea uzi huu
Kubota; Kubota; Kubota;
Uko cha wapi Mkuu?
Hebu rudi jukwaa lengwa tunakusubiria sana tu!
Mama Joe & Mama timmy jamani mwenye nambari ya huyu mjasiriamali mwenzetu na ampigie tu amwambie maoni yake mengi tunayasubiribia hapa!
newcastle au mdondo wanapewa siku za mwanzo ila wengi tunaanza na vitamin kuvipa nguvu si unajua vinakuwa dhaifu. Pia ukiweka maji jitaidi iwe ulitoa vyombo mfano asubuhi sana ukawaacha wale wakipata kiu unaweka chanjo kama saa tatu ili wote wanakuwa na kiu unayaacha masaa 2 unatoa unaweka ya kawaida na vitamin. Jitaidi kuwasogeza wote wanywe dawa. Baada ya wk tatu unarudia tena.
Safi sana yaani very practical hadi rahaaa.
nimeshangaa aina hii ya kuku ,yaani wanataga kuliko wa kisasa!, nitafurahi kusikia toka kwako pindi ukiwanunua , niweze fahamu bei na wauzajiMkuu Kubota vipi kuhu Utagaji wa Kuku wa Kienyeji kwa mwaka? Nauliza hivyo kwa sababau Kenya kuna Aina ya Kuku wapya wa Kienyeji ambao wanataga kuliko hata Kuku wa Kisasa kwa mujibu wa Maelezo ya Ile taasisi wanataga Mayai hadi 280 kwa mwaka, kiwango ambacho wanadai ni kikubwa kuliko hata kuku wakisasa wa mayai, Naifutilia Mbegu yao, make niliwasiliana nao wakanimbia vifaranga vinapatikana ila ni ghali sana ingawa na Fertilized eggs yapo pia, so nasubilia Uchaguzi umalizike ili niwaibukie ninunua hivyo vifaranga wa hao aina mpya ya kuku wa Kienyeji, na si kwama imecrosiwa no ni pure Indegenous, na pia kuna Kuku wa Kieneyeji kutoka Isaraeli nao nawafuatilia huko huko
Mkuu Kubota vipi kuhu Utagaji wa Kuku wa Kienyeji kwa mwaka? Nauliza hivyo kwa sababau Kenya kuna Aina ya Kuku wapya wa Kienyeji ambao wanataga kuliko hata Kuku wa Kisasa kwa mujibu wa Maelezo ya Ile taasisi wanataga Mayai hadi 280 kwa mwaka, kiwango ambacho wanadai ni kikubwa kuliko hata kuku wakisasa wa mayai, Naifutilia Mbegu yao, make niliwasiliana nao wakanimbia vifaranga vinapatikana ila ni ghali sana ingawa na Fertilized eggs yapo pia, so nasubilia Uchaguzi umalizike ili niwaibukie ninunua hivyo vifaranga wa hao aina mpya ya kuku wa Kienyeji, na si kwama imecrosiwa no ni pure Indegenous, na pia kuna Kuku wa Kieneyeji kutoka Isaraeli nao nawafuatilia huko huko
Kubota ndugu yangu ulituweka sana wadau!wewe kila siku ni kuchoma mkaa!mwisho wa siku miti itakwisha.nipo ila majukumu ya kifamilia yalinibana.nimerudi na nimefurahi kukuta mchuzi ni wa moto sasa ni kunywa tu!twende kaziWakubwa nipo jamani, ila Mama Timmy ameadimika au anasakanya sungura wametoroka? Mama Timmy nachemsha mchuzi huonekani mwishowe utakauka njoo unywee!!
Kubota asante sana barikiwa nimejifunza mengi kuhusu kuku wa kienyeji mpaka sasa, endelea kutujuza mengine pia hasa security, ila uache nyara za serikali ukikamatwa mbaya sana
Asante nitazingatia ushauri Mama Joe, kuhusu security nitakusimulia tu nilivyojilinda dhidi ya maadui pori!
Mkuu Kubota vipi kuhu Utagaji wa Kuku wa Kienyeji kwa mwaka? Nauliza hivyo kwa sababau Kenya kuna Aina ya Kuku wapya wa Kienyeji ambao wanataga kuliko hata Kuku wa Kisasa kwa mujibu wa Maelezo ya Ile taasisi wanataga Mayai hadi 280 kwa mwaka, kiwango ambacho wanadai ni kikubwa kuliko hata kuku wakisasa wa mayai, Naifutilia Mbegu yao, make niliwasiliana nao wakanimbia vifaranga vinapatikana ila ni ghali sana ingawa na Fertilized eggs yapo pia, so nasubilia Uchaguzi umalizike ili niwaibukie ninunua hivyo vifaranga wa hao aina mpya ya kuku wa Kienyeji, na si kwama imecrosiwa no ni pure Indegenous, na pia kuna Kuku wa Kieneyeji kutoka Isaraeli nao nawafuatilia huko huko
Hongera kwa kupata vifaranga nakushauri uwatenge na kuku wengine kama hutaweza waache na mama yao wawape joto. anza kama alivyoshauriwa LiverpoolFC jana ila nenda na dalili hizo za jogoo famasi wakupe dawa. Mtenge pekee na osha vyombo kwa dawa. Ungeanza na mdondo kama unawasiwasi na dawa nyingine za vifaranga utapewa famasi. Keep it up
Namshukuru Mungu kuku wangu watatu wameanza kutotoa leo.Changamoto ya magonjwa ndio wasiwasi wangu. leo jogoo nimeona linatoa kinyesi chenye maji mengi sijui kama ndo linaharisha kama unavyona pichani! wasiwasi ni kwa vifaranga kuambukizwa. nategemea nikawatoe wote kwa mama zao. nimpatie dawa gani huyo jogoo na kuwakinga vifaranga?
Namshukuru Mungu kuku wangu watatu wameanza kutotoa leo.Changamoto ya magonjwa ndio wasiwasi wangu. leo jogoo nimeona linatoa kinyesi chenye maji mengi sijui kama ndo linaharisha kama unavyona pichani! wasiwasi ni kwa vifaranga kuambukizwa. nategemea nikawatoe wote kwa mama zao. nimpatie dawa gani huyo jogoo na kuwakinga vifaranga?
Naaaaam Mama Joe hakika kuku wote wanne wametotoa na ingali wameanguliwa kwa kutofautiana ama kupishana siku ila hakika wote wametotolewa na kuna aliyeacha mayai kama matatu na mama zao nimewatupia majogoo wakae nao huko katika banda lingine ila sijui kama nitakuwa nimekosea sijui ila kwa kuwa tupo pamoja hakika tutarekebishana na Kubota nakuomba sana pitia huku kwani umezidi kuwa busy na magogo huko ulipo!
Hongera kwa kupata vifaranga nakushauri uwatenge na kuku wengine kama hutaweza waache na mama yao wawape joto. anza kama alivyoshauriwa LiverpoolFC jana ila nenda na dalili hizo za jogoo famasi wakupe dawa. Mtenge pekee na osha vyombo kwa dawa. Ungeanza na mdondo kama unawasiwasi na dawa nyingine za vifaranga utapewa famasi. Keep it up