Wana JF naomba wenye uzoefu na biashara ya poles kutoka Iringa wanijuze. Napenda hasa kujua soko lake hapa Dar likoje na kama kuna iwezekano wa kuuza mzigo kwa jumla. Ni maeneo yapi yanafaa kwa biashara hiyo, gharama za kukodi eneo, bei za jumla na rejareja. Kuna mtu kutoka Iringa anahitaji kuleta poles za 4 inchis lakini hana soko la uhakika. Asanteni kwa michango yenu