rollingstone
Member
- Apr 1, 2012
- 29
- 1
Kwa wasiofahamu, Paprika ni zao kama pili pili isiyokali. Tafadhali kwa walioko Dar, fanyeni mini-survey pale kariakoo kuuliza kwa wahindi na wapemba. Mwaka jana walitafuta sana lakini wakakosa. Kama kuna watu watahitaji, tufanye biashara, kwa kweli zipo za kumwaga kama tani 40 kuanzia August, njoo humu tufanye biashara. Lets be serious