- Bora uchukue mortgage(mkopo) wa nyumba huku unakaa humo(ktk nyumba huku ukilipa mkopo kidogo kidogo) kuliko kupanga nyumba na kulipa kodi huku unajenga nyumba sehemu nyingine bila mkopo.
- PPF na Pension funds wajenge nyumba za kifamilia na kutoa mikopo(mortage) badala ya kujenga vikwangua anga pekee.
- Kulipa kodi ya nyumba ya kupanga mkupuo mmoja(kwa mwaka) ni kinyume ya katiba(sheria ya nyumba), sababu mlipaji analipwa kwa wiki/mwezi
Last edited by a moderator: