poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
wadau mambo
nataka kununua bidhaa mbalimbali toka nje kupitia mitandao,lakini nimesikia ipo mitandao ya kitapeli.Naomba mnielekeze mitandao inayoza vitu vipya na used na iwe ni waaminifu.Si vibaya mkanielekeza namna ya kutuma pesa na kupokea mzigo.Asanteni wadau nasubiri toka kwenu
nataka kununua bidhaa mbalimbali toka nje kupitia mitandao,lakini nimesikia ipo mitandao ya kitapeli.Naomba mnielekeze mitandao inayoza vitu vipya na used na iwe ni waaminifu.Si vibaya mkanielekeza namna ya kutuma pesa na kupokea mzigo.Asanteni wadau nasubiri toka kwenu