Ndg wana jf hope sote tu wa afya njema baada ya hekaheka za wiki nzima.
Naomba mwenye EXPERIENCE ya kutosha na hii biashara ya Mifugo hasahasa Ng'ombe kuwaleta Dar kutoka Mikoani kama inalipa
coz nimewahi enda pale PUGU Mnadani wakati wa Christmas angalau nijitafutie Mbuzi wa kumtafuna na nikafurahishwa sana na ile
biashara, ati muuzaji anakwambia BEI ya mnyama kwa kukadiria bila kupima ktk kilo.
Kilicho nihamasisha zaidi ni ndg yangu nilie kuwa nae pembeni aliniambia unaweza kuta huyo mbuzi anaemuuza Tsh 50,000/-
amemnunua Tsh 25,000/- huko mikoani!!! Au ng'ombe wa 600,000/- unaweza kuta kanunua 300,000/-
Please NAOMBA mwenye maujanja na hiyo business anipashe hapa, aniambie ma-requirements na mikoa gani nitapata
hawa mifugo esp ng'ombe kwa wingi?
With Thanx
Naomba mwenye EXPERIENCE ya kutosha na hii biashara ya Mifugo hasahasa Ng'ombe kuwaleta Dar kutoka Mikoani kama inalipa
coz nimewahi enda pale PUGU Mnadani wakati wa Christmas angalau nijitafutie Mbuzi wa kumtafuna na nikafurahishwa sana na ile
biashara, ati muuzaji anakwambia BEI ya mnyama kwa kukadiria bila kupima ktk kilo.
Kilicho nihamasisha zaidi ni ndg yangu nilie kuwa nae pembeni aliniambia unaweza kuta huyo mbuzi anaemuuza Tsh 50,000/-
amemnunua Tsh 25,000/- huko mikoani!!! Au ng'ombe wa 600,000/- unaweza kuta kanunua 300,000/-
Please NAOMBA mwenye maujanja na hiyo business anipashe hapa, aniambie ma-requirements na mikoa gani nitapata
hawa mifugo esp ng'ombe kwa wingi?
With Thanx