Penguin-1
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 406
- 64
Habari Wadau,
Kuna jamaa yangu yupo mbali sana anataka kuanzisha biashara hizi za kuweka nyimbo kwenye simu(i believe kwa cable/bluetooth) ,amepata computer na ana miziki mingi ya nje na mingi mikali ya bongo fleva inayo hit kwa sasa.
Swali lake la msingi ,anauliza haswa kwa miziki ya bongo fleva ,je atakuwa anavunja sheria ya haki miliki?
na je nini anaweza kufanya ili asije vunja sheria?(kama itakuwa inaonekana anavunja)
Binafsi najua hizi biashara zinafanyika sana ,lakini sijui kuhusu uhalali wake.Ndio maana nimeshindwa kumpa jibu la moja kwa moja.
mwenye hizi taarifa anijuze ,niwasilishe kwa jamaa.(na kwa faida ya wasiojua)
Kuna jamaa yangu yupo mbali sana anataka kuanzisha biashara hizi za kuweka nyimbo kwenye simu(i believe kwa cable/bluetooth) ,amepata computer na ana miziki mingi ya nje na mingi mikali ya bongo fleva inayo hit kwa sasa.
Swali lake la msingi ,anauliza haswa kwa miziki ya bongo fleva ,je atakuwa anavunja sheria ya haki miliki?
na je nini anaweza kufanya ili asije vunja sheria?(kama itakuwa inaonekana anavunja)
Binafsi najua hizi biashara zinafanyika sana ,lakini sijui kuhusu uhalali wake.Ndio maana nimeshindwa kumpa jibu la moja kwa moja.
mwenye hizi taarifa anijuze ,niwasilishe kwa jamaa.(na kwa faida ya wasiojua)