Biashara ya kuni/mkaa kurudi kwa nguvu: Gesi imepanda maradufu ndani ya wiki moja!

Nimeenda dukani kununua mafuta ya kupikia ya alizeti ilikuwa yanauzwa 14,000 per 5L etiii saizi yanauzwa Tsh 19,000 mwe KASELIKALI KETU HAKA JAMANI.
 
Bei ya Gesi Imepanda Kwa haraka ndani ya wiki mbili na kufikia Shs. Elfu Sabini(70,000) kwa mtungi wa kilo Kumi na tano. Kamtungi ka kilo 6 sasa kanauzwa Tshs: 27,000. Hivi Ewura ni 'sleeping giant' au ? Serikali nayo bado hipo fungate au? Hawa wafanyabiashara wameingia 'ubia' na serikali au? Pale Bamaga- Sinza, jamaa anasema amefunga kuuza gezi[anayostock ya kutosha] ila anasoma soko linavyoenda hili aweze kuvuna zaidi .....
Kweli tutafika kwa mbio hizi?

UMEME JUU, GESI JUU....WHAT NEXT ........

PAMOJA NA DHAHAMA KATIKA UPIKAJI WA MSOSI LAKINI KWA MWENDO HUU, MISITU ITAZIDI KUFYEKWA ZAIDI
pict0340.jpg



HAPA NI WIKI YA KWANZA YA MWEZI JANUARI, 2011
pict0342.jpg
 
Wanaziba mapengo ya fedha za uchakachuzi a.k.a. uchaguzi. Nionavyo ni ugumu, mfumoko wa bei, maisha magumu tu. Kwani kwa utawala wa Kikwete ulitegemea nini ndugu yangu?

Kwa mambo yote ya msingi wamelala.....kwa kila jambo la upuuzi wako hai.

Poleni WaTz
 
Soma signature yangu utaelewa somo..... na kwa ukondoo wa Wadanganyika.... wataishia kusema na kulalamika kwenye mitandao....



A number of YOU Voted for KLEPTOMANIACS, Don't ever complain for what You are now getting!!!!
 
Bei ya Gesi Imepanda Kwa haraka ndani ya wiki mbili na kufikia Shs. Elfu Sabini(70,000) kwa mtungi wa kilo Kumi na tano. Kamtungi ka kilo 6 sasa kanauzwa Tshs: 27,000. Hivi Ewura ni 'sleeping giant' au ? Serikali nayo bado hipo fungate au? Hawa wafanyabiashara wameingia 'ubia' na serikali au? Pale Bamaga- Sinza, jamaa anasema amefunga kuuza gezi[anayostock ya kutosha] ila anasoma soko linavyoenda hili aweze kuvuna zaidi .....
Kweli tutafika kwa mbio hizi?

UMEME JUU, GESI JUU....WHAT NEXT ........

PAMOJA NA DHAHAMA KATIKA UPIKAJI WA MSOSI LAKINI KWA MWENDO HUU, MISITU ITAZIDI KUFYEKWA ZAIDI
pict0340.jpg



HAPA NI WIKI YA KWANZA YA MWEZI JANUARI, 2011
pict0342.jpg


Yanahitajika maandamano ya nchi nzima, nchi nyingine za Africa hata mkate ukipanda watu wanalalamika (pia ninashangaa watu wanaohusika na vyombo vya habari mbona hawatumii nguvu kupigania mambo kama haya) mfano Issa Michuzi Blogg yake imekuwa ya kutangaza Birthday na Matamasha
 
Kwa njia hii ya kusini ni balaa tupu, nilipita week ya kwanza pale Vikindu check point nikaona magunia ya walala hoi yalivyokamatwa, ni mengi sana mkuu. Utaratibu waliotoa ni mgumu ajabu, eti mkulima wa Vikindu akitaka kusafirisha mkaa kwenda mjini Dar ni lazima aende Mkuranga akalipie ushuru serikali kuu kisha aende kijijini kwake ili akachukue gunia hilo moja kwenda kuuza mbagala. Yaani mkulima anatakiwa atenge siku nzima ya kwenda wilayani kulipia ushuru wa gunia moja ili kesho ndio afanye biashara,wakati mwanzo ilikuwa ukifika check point unalipia na kupita zako kama hukulipia ulikotoka.
 
Kwa njia hii ya kusini ni balaa tupu, nilipita week ya kwanza pale Vikindu check point nikaona magunia ya walala hoi yalivyokamatwa, ni mengi sana mkuu. Utaratibu waliotoa ni mgumu ajabu, eti mkulima wa Vikindu akitaka kusafirisha mkaa kwenda mjini Dar ni lazima aende Mkuranga akalipie ushuru serikali kuu kisha aende kijijini kwake ili akachukue gunia hilo moja kwenda kuuza mbagala. Yaani mkulima anatakiwa atenge siku nzima ya kwenda wilayani kulipia ushuru wa gunia moja ili kesho ndio afanye biashara,wakati mwanzo ilikuwa ukifika check point unalipia na kupita zako kama hukulipia ulikotoka.

Naamini nao mkaa utaanza kupanda bei kwa spidi kali.
Twafwa.
 
Cha ajabu hata wafanyabiashara wa mkaa wakiona watu wanakimbilia nishati hiyo, nao watapandisha bei (hata kama hawajaathirika na factors nyingine za kibiashara)!
 
Cha ajabu hata wafanyabiashara wa mkaa wakiona watu wanakimbilia nishati hiyo, nao watapandisha bei (hata kama hawajaathirika na factors nyingine za kibiashara)!

Tayari nimekupa factor ya mzunguko wa kupata kibali utakavyoleta ongezeko la bei, na wale wanaopita njia za panya,wanateseka sana kuwakwepa jamaa wa misitu, hivyo automatically bei imepanda, itapanda sana wakati wa masika kwa sababu njia zitakuwa hazipitiki mkuu.
 
yanahitajika maandamano ya nchi nzima, nchi nyingine za africa hata mkate ukipanda watu wanalalamika (pia ninashangaa watu wanaohusika na vyombo vya habari mbona hawatumii nguvu kupigania mambo kama haya) mfano issa michuzi blogg yake imekuwa ya kutangaza birthday na matamasha
Tena Michuzi ndo pumbavu sana kuliko waandishi wote Tanzania.alimsifia kikwete utafkiri bwana ake bila kuweka maslahi ya watanzania wenzake mbele.Yuko ka mwenzake Kibonde.
 
Poleni sana wadanganyika,but for those with entrepreneurial spirit is a great opportunity to be rich ....
 
Mafuta yamepanda kwa hiyo lazima hata mkaa upande,maana yanatumia usafiri,pia mkaa hautoshi kwa mahitaji ya wengi kwa hiyo lazima upande kiasi

Lakini haya yote ni dalili mbaya kwa taifa letu ambalo kuna kundi ambalo hawana habari kabisa na kupanda kwa umeme wala gas


Lazima tubadili katiba ili kila mtu aridhike kama itatokea shida kama hizi tutajua ni kwa nini ila kwa sasa wenzetu wanatanua na starehe wakati wengine mlo wa kawaida unakuwa shida
 
Kwa njia hii ya kusini ni balaa tupu, nilipita week ya kwanza pale Vikindu check point nikaona magunia ya walala hoi yalivyokamatwa, ni mengi sana mkuu. Utaratibu waliotoa ni mgumu ajabu, eti mkulima wa Vikindu akitaka kusafirisha mkaa kwenda mjini Dar ni lazima aende Mkuranga akalipie ushuru serikali kuu kisha aende kijijini kwake ili akachukue gunia hilo moja kwenda kuuza mbagala. Yaani mkulima anatakiwa atenge siku nzima ya kwenda wilayani kulipia ushuru wa gunia moja ili kesho ndio afanye biashara,wakati mwanzo ilikuwa ukifika check point unalipia na kupita zako kama hukulipia ulikotoka.

Mkuu hii inatia huzuni, yaaani huzuni!
 
Ndugu zangu nawasalimu, najua sote tu wazima na tunaendelea kufikiri jinsi ya kuisaidia nchi.

Jamani mtungi umepanda bei na kuwa sh 70000. Naomba wanaotumia gesi watupe takwim ili tujua kama ni kweli.

mapendekezo:

kama ni kweli naomba mara moja tuitishe maandamano nchi nzima kama watanzania mana

gesi elf 70000, umeme ghali, maji ndo usiseme, mafuta ndo yamepaa? sukari na mchele

utadhani wanauza ikulu tu.

Karibu jadili
 
Ndgu yangu hakuna siku nimekasirika kama leo kwanza huwa nanunua umeme wa elf 10 napata unit 65 hivi leo napata unit 52 tu. Nimempa m2 wa pikipiki elf 40 za kununulia gas kg 15 amenipigia simu eti imepanda sh 65 tena aje kuchukuwa kesho. TUANZEKUANDAMANA KESHO TUKITOKA NKURUMA 2MECHOKAAA.
 
Back
Top Bottom