Biashara ya kuni/mkaa kurudi kwa nguvu: Gesi imepanda maradufu ndani ya wiki moja!

Inauma tena inasikitisha sana kuona kila siku gesi inapanda bei kila leo unaambiwa bei mpya hivi gesi nayo tunaagiza Russia?? au huko Russia kwenye soko la dunia imependa jamani? Tuoneane huruma mmetushawishi tuachane na majiko ya mkaa wengine tulisha yatupa lengo kuu nikuokoa mazingira yetu kuepukana na tabia nchi lakini leo hii gesi tunapandishiwa kiholela hawa wanao jiita EWURA wapo kwa masrahi ya nani? gesi tuchimbe wenyewe alafu tununue kwa bei ya juu hii inaingia akilini kweli au nayo inaagizwa nje? najua mtajitetea kama mnavyo tufanyizia kwenye mafuta hapa kwa Gadaffi 1lt ya petrol ni sh 250 kwa pesa ya TZ ukiisafirisha mpaka ifike bongo hapa haiwezi fika kwa bei ya sh.1750 kwa lita.
Jamani wala nchi tuoneane huruma wajameni madarakani mmekaa kwa jasho letu alafu mnatugeuka tena dah inauma kwakweli. Au mnataka tuanze kutumia mavi ya ng'ombe kama nishati? maana hiyo ndo cheap kabisa unaagiza magunia yako kadhaa kijijini unaweka stock mpaka unasahau.
Inauma sana
 
afazali mkaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu usilie si umeichagu hii naniiii tena ya kijini jani sasa inakukula usihofu rudi kwa Dr.Slaa Tumuombe tena
 
Pikia kuni kaka fyeka misitu yoote upate kuni iliyo na bei nafuu sindio wanavyotaka?
 
Inauma tena inasikitisha sana kuona kila siku gesi inapanda bei kila leo unaambiwa bei mpya hivi gesi nayo tunaagiza Russia?? au huko Russia kwenye soko la dunia imependa jamani? Tuoneane huruma mmetushawishi tuachane na majiko ya mkaa wengine tulisha yatupa lengo kuu nikuokoa mazingira yetu kuepukana na tabia nchi lakini leo hii gesi tunapandishiwa kiholela hawa wanao jiita EWURA wapo kwa masrahi ya nani? gesi tuchimbe wenyewe alafu tununue kwa bei ya juu hii inaingia akilini kweli au nayo inaagizwa nje? najua mtajitetea kama mnavyo tufanyizia kwenye mafuta hapa kwa Gadaffi 1lt ya petrol ni sh 250 kwa pesa ya TZ ukiisafirisha mpaka ifike bongo hapa haiwezi fika kwa bei ya sh.1750 kwa lita.
Jamani wala nchi tuoneane huruma wajameni madarakani mmekaa kwa jasho letu alafu mnatugeuka tena dah inauma kwakweli. Au mnataka tuanze kutumia mavi ya ng'ombe kama nishati? maana hiyo ndo cheap kabisa unaagiza magunia yako kadhaa kijijini unaweka stock mpaka unasahau.
Inauma sana

ndugu yangu gesi ya songosongo sio tunayotumia majumbani kwetu. haifai kutumika majumbani kuna viwango vyake na namna ya kuitumia majumbani kwa mfumo wa mabomba na kuitreat hadi itumike majumbani ni gharama kubwa sana. tunayotumia inatokana na mabaki ya mafuta kusafishwa na kuna namna ya kuitreat. mwone mtu wa TPDC atakupa ufafanuxzi zaidi.
 
mwaka jana 30kg ilikuwa 34,000/= leo ni 46,000/= tutakoma mwaka huu, Mbeya walipolilia bei ya sukari kuwa ni 3,000/= mliona sawa, lejea mazungumzo kati ya Lisa wa Marekani Zidi ya makamba Mdogo january jinsi alivyomuumbua JK kwa Misaada isiyokidhi matakwa na upandaji holela wa vitu, hii ni kufidia mabango ya JK na Dowansi tutakoma , Yani kufa hatufi cha moto tutakiona , subir nauli ya dala dala inakuja, twafa, bado garama za Umeme na maji , ngoa sie siem tupone
 
its funny because natural gas prices have been going down on world market so low that some companies in us have stopped drilling
 
Inauma tena inasikitisha sana kuona kila siku gesi inapanda bei kila leo unaambiwa bei mpya hivi gesi nayo tunaagiza Russia?? au huko Russia kwenye soko la dunia imependa jamani? Tuoneane huruma mmetushawishi tuachane na majiko ya mkaa wengine tulisha yatupa lengo kuu nikuokoa mazingira yetu kuepukana na tabia nchi lakini leo hii gesi tunapandishiwa kiholela hawa wanao jiita EWURA wapo kwa masrahi ya nani? gesi tuchimbe wenyewe alafu tununue kwa bei ya juu hii inaingia akilini kweli au nayo inaagizwa nje? najua mtajitetea kama mnavyo tufanyizia kwenye mafuta hapa kwa Gadaffi 1lt ya petrol ni sh 250 kwa pesa ya TZ ukiisafirisha mpaka ifike bongo hapa haiwezi fika kwa bei ya sh.1750 kwa lita.
Jamani wala nchi tuoneane huruma wajameni madarakani mmekaa kwa jasho letu alafu mnatugeuka tena dah inauma kwakweli. Au mnataka tuanze kutumia mavi ya ng'ombe kama nishati? maana hiyo ndo cheap kabisa unaagiza magunia yako kadhaa kijijini unaweka stock mpaka unasahau.
Inauma sana

Mkuu kweli gasi tunachimba lakini bado hatujaweza kuweka kwenye mitungi. Hata mitungi yenyewe hatutengenezi mkuu;hivyo vumilia hadi waje viongozi wenye maono ambao wataona hili suala la ku-pack gasi ya matumizi ya nyumbani wenyewe ni agent.....umeshasahau Nigeria wanachimba mafuta lakini wanaagiza nje mafuta ya kutumia kwenye magari yao...hii ni tz bana!
 
mi nahisi bei imeongezeka kwa kua watumiaji wanakua wengi siku hadi siku.
lakini production yake haifikii kiwango walichokipandisha mpaka sasa.
lets wake up!!!
 
mi nahisi bei imeongezeka kwa kua watumiaji wanakua wengi siku hadi siku.
lakini production yake haifikii kiwango walichokipandisha mpaka sasa.
lets wake up!!!

Hili mkuu siyo kweli. Unajua tayari biashara ya gesi imeshatekwa na wahindi waroho. Hawataki hata tuwe na uweo wa kupack gesi tunayochimba kwenye cylinder kwa matumizi yetu ya nyumbani badala yake wanataka waendelee kuiagiza nje ili waiuze kwa bei watakayo. Ni hadi serikali ione hii njama ya hawa wanyonyaji na kuchukua hatua za makusudi za kuanzisha plant ya kupack gesi ndio tutapata nafuu. Vinginevyo tutegemee maumivu zaidi.
 
Gesi si inazalishwa hapa hapa nchni ingekuwa tunaagiza nje ya nchi ingekuwa mara dufu
sasa hivi mtungi wa 30kg ni sh.46 si bora ununue mkaa tu wa mikorosho
 
Mimi jana nimeshindwa kabisa kununua kile kimtungi kidogo bora kurudi kwenye mkaa tu wa kidebe.
 
Lakini angalia hiyo gesi si inachimbwa Songas?

Gesi hii (LPG) ni imported sio hiyo inachimbwa na Songas(Natural gas).....Maeleozo niliyonayo ni kuwa hupatikana baaada ya mafuta ghafi kusafishwa.

Kwa hii inayochibwa hapa ili iweze kutumika majumbani nilivyosikia ni kuwa kunahititajika gharama kubwa kidogo kuifanyia processing iweze kutumika majumbani, labda tujiulize,

Ni gharama kubwa kiasi gani? Na imeshindikana kutafuta investor wa kuweza kufunga hiyo mitambo, kwa sababu trend ilivyokuwa ni kuwa watu wengi walianza kuswitch kwenye gesi badala ya umeme na mkaa......sina uhakika sana ila ni my observation



More info.

What is the Difference Between Propane and Natural Gas?

What Are LPG and Natural Gas? | Gas and LPG Safety | Consumer Safety
 
Sheria iliyoanzisha EWURA nayo inatatizo. Wao wanalipwa kwa %age ya bei ya maji, umeme, gas. Umeme au gas ukipanda nao mapato yao yanaongezeka na hivyo kuweza kujilipa kifisadi zaidi
 
hivi hizi 160b za kuwalipa dowans na zile za epa kama zilisha rudishwa, na za magari mashanging kama tustop mwaka huu kuyanunua hatuwezi kuanzisha hiyo project ya kupaki gas?
 
hivi hizi 160b za kuwalipa dowans na zile za epa kama zilisha rudishwa, na za magari mashanging kama tustop mwaka huu kuyanunua hatuwezi kuanzisha hiyo project ya kupaki gas?

Tatizo viongozi wengi serikalini wanamawazo mgando kila mtu anaangalia atachumaje
 
unashangaaa gesi si bora ya gesi. hata toooth stick tunatumia pesa ya kigeni kuimport wakati tuna misitu.

siiku si nyingi ikulu itabidi wa import hewa ya oxygen sababuya harufu mbaya yafery pale magogoni
 
Mimi jana nimeshindwa kabisa kununua kile kimtungi kidogo bora kurudi kwenye mkaa tu wa kidebe.

nilichukua ka buku kumi kangu nikafikiri naenda pata 6Kg kama zamani, nikaambiwa sasa ni 19,000 kwa 6Kg,, hii nchi inaenda wapi jamani???
 
Back
Top Bottom