mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Katika hali isiyo ya kawaida na ya kusikitisha serikali inahamasisha upandaji miti na usafi wa mazingira, sasa hivi gesi imepanda kiasi cha kutisha, hivyo kuonekana kama mitungi ni maapambo ndani ya nyumba zetu.
Mkazo wa serikali ni kuhimiza kutumia ges ambayo watanzania wengi walikuwa waniogopa sana kuwa inalipuka hivyo wakendelea na ujinga huo takribani ya mika zaid ya mitano, sasa baada ya mafunzo makali pamoja uvumbuzi wa njia rahis ya kuepuka hatari na kuanza kutumia ges sasa imepanda sana kiasi cha kukumbuka jiko la nchina ambalo tulishalipa kisogo siku nyingi.
Haya hawa watu wa EWURA wako wapi au wameula wakanyamaza, huenda wanapewa posho na walanguzi wa gesi maana sijawahi kuona wanakemea, wakati huo huo kumbuka gesi inachimbwa Tanzania, la kushangaza zaidi uchafu wa mazagazaga mengi yanapotea bure kwa nini halmashauri ya Jiji isiagize vifaa vya kutengeneza mkaa wa uchafu wa Jiji kama mradi hili magari yao yasiendelee kukosa petroli ya kukusanya uchafu.
Hii sehemu ya nishati inahususiana nini na mazingira labda wizara hizi zinachanganywa,
Katika hali isiyo ya kawaida na ya kusikitisha serikali inahamasisha upandaji miti na usafi wa mazingira, sasa hivi gesi imepanda kiasi cha kutisha, hivyo kuonekana kama mitungi ni maapambo ndani ya nyumba zetu.
Mkazo wa serikali ni kuhimiza kutumia ges ambayo watanzania wengi walikuwa waniogopa sana kuwa inalipuka hivyo wakendelea na ujinga huo takribani ya mika zaid ya mitano, sasa baada ya mafunzo makali pamoja uvumbuzi wa njia rahis ya kuepuka hatari na kuanza kutumia ges sasa imepanda sana kiasi cha kukumbuka jiko la nchina ambalo tulishalipa kisogo siku nyingi.
Haya hawa watu wa EWURA wako wapi au wameula wakanyamaza, huenda wanapewa posho na walanguzi wa gesi maana sijawahi kuona wanakemea, wakati huo huo kumbuka gesi inachimbwa Tanzania, la kushangaza zaidi uchafu wa mazagazaga mengi yanapotea bure kwa nini halmashauri ya Jiji isiagize vifaa vya kutengeneza mkaa wa uchafu wa Jiji kama mradi hili magari yao yasiendelee kukosa petroli ya kukusanya uchafu.
Hii sehemu ya nishati inahususiana nini na mazingira labda wizara hizi zinachanganywa,