Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya kukodisha magari. Ninayo magari mawili 4x4 heavy duty ambayo siyatumii hivyo nimeonelea nianze na hayo kwanza. Mwenye uzoefu na biashara hii msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.