Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya juu huwa ni competence based or work based..... Tanzania elimu yetu ni competence based ambayo kama ume-graduate kweli sioni ni kwanini ufikirie kufuga kuku. Na watanzania wengi ambao hawajasoma wafikirie nn? Wafikirie mambo ya community development? Watanzania sijui tumelogwa? Kwanini ulienda soma sasa? Unataka utoe ajira ya ufugaji kuku kwa waliosoma community development au?
@Senator,
npo dar,ila c kwamba itakuwa kikwazo cha mm kuacha kutafuta lyf mahali pengine,lakini moshi ni mgeni sana hapo,ila nataka nikachek Moro-Kilombero,nahisi kilimo kwanza kitanitoa. Nashukuru kwa ushauri wako,ntakupa feedbac zaid
Graduates wanafaa sana kujiajiri kwenye sekta ya kutapisha vyoo
Graduates wanafaa sana kujiajiri kwenye sekta ya kutapisha vyoo
<br />Ndugu umesema kweli.<br />
Kwa mtu mgeni Moshi ni pagumu sana kuanza cho chote. Miji ambayo inaweza kukupokea bila taabu ni Mby,Ruvuma na Morogoro na baadhi ya Wilaya za mkoa wa Iringa,Tanga. Hii ni mikoa ambayo fursa za kujiajiri bado zipo na lishe ipo kwa bei nafuu.
<br />Ningekua nauwezo wa kumblock huyu bujibuji asichangie kwenye hizi thread, ningefurahi sana......bujibuji unatakiwa kujua kwanini uko kwenye upo kwenye JF......nasio kuwakatisha tamaa watu......who r u ? Usichangie pumba bro....kama huna cha kuchangia u just zip ur dirty mouth.
Keep it up Buji... unasababisha watu wakune vichwa...watoe ya maana!! mkakati poa..!!Ningekua nauwezo wa kumblock huyu bujibuji asichangie kwenye hizi thread, ningefurahi sana......bujibuji unatakiwa kujua kwanini uko kwenye upo kwenye JF......nasio kuwakatisha tamaa watu......who r u ? Usichangie pumba bro....kama huna cha kuchangia u just zip ur dirty mouth.
<br />Ndugu Bobo naomba uwasiliane na washauri wa uchumi na biashara waliobobea ktk fani hiyo nina imani wana experience nzuri ya kukusaidia, biashara sio tu kuwa na mtaji, bali kuna mambo mengi muhimu ya kuyajua kabla hujajiingiza katika biashara hizo ama hiyo. Wafuatao ni baadhi yao ambao wamewasaidia wengi.<br />
Chalrles - 0755 394 701<br />
Lembu - <span style="font-family: Calibri"><font color="#000000">0774650100 au 0654650100<br />
<span style="font-family: Arial">Mariam Tambwe - <span style="font-family: Arial">0715 279433</span></span></font></span>
elimu ya juu huwa ni competence based or work based..... Tanzania elimu yetu ni competence based ambayo kama ume-graduate kweli sioni ni kwanini ufikirie kufuga kuku. Na watanzania wengi ambao hawajasoma wafikirie nn? Wafikirie mambo ya community development? Watanzania sijui tumelogwa? Kwanini ulienda soma sasa? Unataka utoe ajira ya ufugaji kuku kwa waliosoma community development au?
Elimu ya juu huwa ni competence based or work based..... Tanzania elimu yetu ni competence based ambayo kama ume-graduate kweli sioni ni kwanini ufikirie kufuga kuku. Na watanzania wengi ambao hawajasoma wafikirie nn? Wafikirie mambo ya community development? Watanzania sijui tumelogwa? Kwanini ulienda soma sasa? Unataka utoe ajira ya ufugaji kuku kwa waliosoma community development au?