ndugu wana jf kwanza nawasalimu wote, mimi ni mjasiria mali mdogo nina nia ya kuanzisha karakana ndogo ya kuchana na kuranda mbao kwenye mji mmoja mdogo mikoani kwa wadau wenye uzoefu naomba ushauri wenu kuhusu biashara hii na ni wapi nitapata mashine nzuri za kisasa, natanguliza shukrani zangu