Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Habarini wandugu....Nafikiria kufanya biashara ya matunda ila ni kusafirisha kwenda nje na pia kuagiza baadhi ya matunda ambayo hayapatikani kwa wingi kama Tufaa(Apple) je nini kinachohitajika kama kuna vibali ama leseni ambavyo vinanilazimu kuwa navyo kabla ya kuanza biashara husika.Natanguliza shukrani zangu.