- Thread starter
- #21
Mimi huwa nawapenda sana waandishi wanaoandika makala za KIUCHUNGUZI,,,,,bbc wanajitahidi sana
<br />
<br />Sikuweza kuamini kwa jinsi huyo mama alivyokuwa anaongea kwa kujiamini pasipo woga, yeye anadai biashara zote anafanya kuanzia vibinti vidogo, mashoga na hata wasagaji!!!! Kweli Tanzania imelaaniwa na kamwe majanga hayataisha!!<br />
<br />
BBC waliweza kuweka wazi kuhusu mauaji na biashara ya viungo vya albino lakini Serikali haikuchukua hatua yoyote mpaka sasa, hii inaonyesha kuwa katika biashara zote haramu zinazofanyika hapa nchini kuna viongozi wa juu serikalini wanahusika moja kwa moja
<br />