Habari wanajamii, nlikua na wazo la kuanzisha local bakery kwa kutumia jiko la mkaa kwa ajili ya kutengeneza mkate na kuuza katika eneo nnaloishi na thamani ya hilo jiko ni 350,000 ila total cost na vifaa vyao vingine ambavo wamenitajia ni 450,000 na nlikuwa naomba msaada nijue ni gharama gani inatakiwa katika kuendesha biashara ya Mikate na hilo jiko lina uwezo wa kutoa mikate 18 kwa Batch 1 na nlikua na wazo la kutoa mikate 90 kwa siku ili nione hali halisi ilivo na nlikua nataka nijue gharama ikoje na hali ikoje.
Ntashukuru kwa msaada na nlitaka niuze kwa 800 per bread.
Ntashukuru kwa msaada na nlitaka niuze kwa 800 per bread.