kwelwa
Member
- Feb 19, 2012
- 34
- 0
wana jf naangalia uwezekano wa kuanzisha biashara ya soko la asali katika soko la afrika mashariki hususani kenya.asali hii inapatikana kwa wingi tabora,shinyanga na dodoma.pengine kuna mwenye idea juu ya biashara hii,je inalipa?japo watanzania tu woga wa kuthubutu kuingia.